Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa JF mwaka 2024

Weeh sema kweli 😹😹😹

Mi napenda umbea, hayo mambo yenu mi mtoto 😜
 
🤣😹😹😹😹
Mahi umekuwaje lakini? Uchinjwe Xmas
Aah akipatikana wa kumpenda mbona nitaandika tena na hizi fujo zote zitaisha bado sijapendwa vizuri mahi,,,

Kuna jambo silielewi baadhi ya notification za watu sizipati mpk nisome, hasa kwa mnaotumia app
 
Aah akipatikana wa kumpenda mbona nitaandika tena na hizi fujo zote zitaisha bado sijapendwa vizuri mahi,,,

Kuna jambo silielewi baadhi ya notification za watu sizipati mpk nisome, hasa kwa mnaotumia app
Si babu G yupo jomonii 😜

Pole mi situmii app nisije kubambwa Mr akaijua id yangu tuanzie hayo hayo 🤣😹😹😹
 
🤣🤣🤣kuna siku ilibidi nijiponde😅😅 ili kusawazisha mfadhaiko ulioanza kujitokeza
Mi nilikuwa na app nikaambiwa “Nini hiki?” Haya futa 😹😹
Sema nampaga ubuyu wa watu wa huku tunacheka balaa..! Akiuliza id yangu namwambia Akhu mi naingia km guest 🤣

Kuna siku alikuta kuna mtu nimemjibu kwa voice WhatsApp kawaida tyuu ila nikaambiwa nimelegeza sana sauti kwann?? 🤣🤣🤣
 
Si ajabu uyo shem ananijua na usemi sio unamwambiaga nakunywa pepsi
 
Kuna huyu jamaa anaitwa @kilangakomo
 
Kuna siku badamu batamwagika, nimecheka ningesema kitu tatizo kuna wakaka wambea humu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…