BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Siku ukinisifia kama hivi mvua itanyeshaNa mimi hivyo hivyo nikiona ID yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku ukinisifia kama hivi mvua itanyeshaNa mimi hivyo hivyo nikiona ID yako.
Shi iz, she is.... Is the, the, shi iz no where tu bi found, she is jigi jigi at hom with her mubebe. 😂Watu wanajipakulia minyama tu, Lamomy darling wea a yu?
BICHWA KOMWE humpendi?ndege JOHN sijawahi kukwambia napenda sana mtazamo wako katika mambo mengi, una positivity mindset huna makasiriko.
Nakukubali sana.
Akimaliza akuje weekend imeanzaShi iz, she is.... Is the, the, shi iz no where tu bi found, she is jigi jigi at hom with his mubebe. 😂
Yaani nakosaje kuwemo kwenye orodha kwa mfano? Mtu kama mimi mwenye hadhi yake JF? Khaaa!Watu wanajipakulia minyama tu, Lamomy darling wea a yu?
Nimeshangaa sana, kwanini lakini? Huu ni ubaguzi wa waziYaani nakosaje kuwemo kwenye orodha kwa mfano? Mtu kama mimi mwenye hadhi yake JF? Khaaa!
😂😂 😂Husalimii watu tatizo
Nko poa madam,ni harakati za kutafuta rupia...Uko poa? Hujaonekana muda mrefu sana
Kione vile, kaz kucheka tu kusalimia aaaah😂😂 😂
Kwa sababu huwa namwambia hivyo mara nyingi hadi nimezoea, na nitamwambia hivyo mbele ya wazazi wangu pia Insha’Allah.Ujasiri wa kumwambia mtu nampenda mbele ya hadhara sina we unawezaje? Yani mie nikiandika hivyo kwanza napozi tena ni ile ya kiuongo uongo,, ila hii yako imetoka moyoni kabisa
Nitampenda mwakani 🤣🤣BICHWA KOMWE humpendi?