Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana Jr ni wa wakati wote!Wakuu Baada ya kufanya utafiti mwaka huu mzima kuhusu watu wenye mchango mkubwa hapa jf hatimaye nimekujana na generalization of findings
Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa jf
1 Labani og ...Huyu mwamba kama ingewezekana angekuwa analipwa tu na jf ..... mchango wake hapa jf ni extraordinary Kwani nimchambuzi wa soka, kwenye siasa ni mtu makini ... kwenye jukwaa la mahusiano ...yeye ni top advisor etc.....kikubwa huyu mwamba ni hatari
Extrovert ....ni mwamba mwenye akili mingi (genius) Baada ya Labani og ....ukiangalia contents zake zimeshiba madini....elimu na mambo mbalimbali ya kijamii
Nifah ....kulingana na utafiti wangu huyu mwanadada ni. Ameupiga mwingi mwaka huu Kwani unaweza sema yeye ni CIA, au mossad Kwan anapata classified Intel za ubuyu ambazo surely hua ni za ukweli
Tate Mkuu ...mwamba kaupiga mwingi kwenye upande wa futbol forum Kwa kuwa ni mtu ana comment Kila Uzi
Kalpana huyu ni member anayepitia maumivu makali Kila siku jukwaa la michezo kulingana ukindaki ndaki Kwa Simba ..ni kawaida kulala siku mbili bila kula kisa Simba [emoji23]
NB: research hii imefanyika mwaka huu mzima.....ikitumia participatory observation.... were as a researcher I was direct involved in study population.....where I watched everything happening there ( in JF)View attachment 3133955
Waweza ongezea mwingine ambaye kaupiga mwingi
add tlatlaaTo yeye Mshangazi Numbisa Mshana Jr Kapeace FaizaFoxy Robert Heriel Mtibeli bila kusahau machawa pro Lucas mwashamba,johnthebaptist et al
🤣🤣🤣 nitakaemuandikia itabidi akanishtaki maana nitakuwa namchezea uvulana wakeUkiandika comment kama hii funga PM kabisa maana hayo mafuriko sijui tutakuolotea wapi😂
Masikhara gani mi niko serious, au ndo unataka nikuandikie?Aah hachagha masihara basi nawee 😃 ~ in brother K voice.
Ulikuwa uongo mtakatifu ndo maana mimesahau!!Mbna juzi uliniambia[emoji32][emoji32]
Alipumzika kidg[emoji23]Hii list bila raraa reree ni uongo jamaa anapita kila comment kila thread kumwaga upendo.