Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kumsahau min -meraraa reree kwa ku like post nyingi humu kwenye majukwaa tofauti tofauti
Sijui nikwambie? Penzi sio la juzijuzi hilo, kitambo sana.Bantu Lady , ana hekima na busara sana huyu dada.
Nifah , huyu sasa hivi yuko kwenye penzi zito, hashauriki.
Cute Wife , anajitahidi sana kwenye uandishi!
Evelyn Salt , huyu ana majibu fulani ya kisela a.k.a makavu live!
To yeye , huyu anapenda sana yale mambo yetu!
Aaliyyah , huyu anapenda sana kupika!
Shadeeya , hana tofauti sana na To yeye
Lamomy , huyu kama To yeye
Missy Gf , huyu naye kama To yeye
Nb: Wote pokeeni maua yenu!
To yeye Mshangazi Numbisa Mshana Jr Kapeace FaizaFoxy Robert Heriel Mtibeli bila kusahau machawa pro Lucas mwashambwa,johnthebaptist et al
Ewaaaahau sio
jilipue tu la mama...Kila la heri mkaishi hivyo siku zote, si atokee mtu nimwambie nampenda jamani humu ndani?
Yaani huu unafikiri unakamilika vipi bila kipara kipya watu wote wameshangaa!Wakuu Baada ya kufanya utafiti mwaka huu mzima kuhusu watu wenye mchango mkubwa hapa jf hatimaye nimekujana na generalization of findings
Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa jf
1 Labani og ...Huyu mwamba kama ingewezekana angekuwa analipwa tu na jf ..... mchango wake hapa jf ni extraordinary Kwani nimchambuzi wa soka, kwenye siasa ni mtu makini ... kwenye jukwaa la mahusiano ...yeye ni top advisor etc.....kikubwa huyu mwamba ni hatari
Extrovert ....ni mwamba mwenye akili mingi (genius) Baada ya Labani og ....ukiangalia contents zake zimeshiba madini....elimu na mambo mbalimbali ya kijamii
Nifah ....kulingana na utafiti wangu huyu mwanadada ni. Ameupiga mwingi mwaka huu Kwani unaweza sema yeye ni CIA, au mossad Kwan anapata classified Intel za ubuyu ambazo surely hua ni za ukweli
Tate Mkuu ...mwamba kaupiga mwingi kwenye upande wa futbol forum Kwa kuwa ni mtu ana comment Kila Uzi
Kalpana huyu ni member anayepitia maumivu makali Kila siku jukwaa la michezo kulingana ukindaki ndaki Kwa Simba ..ni kawaida kulala siku mbili bila kula kisa Simba [emoji23]
Robert Heriel Mtibeli ....mwamba sana huyu mwaka huu.....naweza mwita philosopher king wa jf .....mwamba anatoa madini mwanzo mwisho ...anaifanya jf kuwa kama Ile ya zamani kabla haija haribiwa na kina Mshangazi [emoji23][emoji23]
To yeye mbeya girl popote ulipo ...mauwa Yako yakufikie Kwa ukubwa ,....kuwa miongoni mwa influencer wa jf mwaka huu
NB: research hii imefanyika mwaka huu mzima.....ikitumia participatory observation.... were as a researcher I was direct involved in study population.....where I watched everything happening there ( in JF)View attachment 3133955
Waweza ongezea mwingine ambaye kaupiga mwingi
Invalid,......mbna umetaja pisi Kali tu [emoji32][emoji32]Bantu Lady , ana hekima na busara sana huyu dada.
Nifah , huyu sasa hivi yuko kwenye penzi zito, hashauriki.
Cute Wife , anajitahidi sana kwenye uandishi!
Evelyn Salt , huyu ana majibu fulani ya kisela a.k.a makavu live!
To yeye , huyu anapenda sana yale mambo yetu!
Aaliyyah , huyu anapenda sana kupika!
Shadeeya , hana tofauti sana na To yeye
Lamomy , huyu kama To yeye
Missy Gf , huyu naye kama To yeye
Nb: Wote pokeeni maua yenu!
Huyo si ndo anatoaga dislikes nyingiraraa reree mbona hayumo kwenye list? Au mtoa mada ni moja kati ya wanao amini raraa reree ni robot?
Ukome..na utajeruhiwa sana pambavuuuuJapo Kuna zingine zilinijeruhi[emoji23][emoji23]