Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa JF mwaka 2024

Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa JF mwaka 2024

Wakuu Baada ya kufanya utafiti mwaka huu mzima kuhusu watu wenye mchango mkubwa hapa jf hatimaye nimekujana na generalization of findings

Hawa ndio members wenye mchango mkubwa hapa jf

1 Labani og ...Huyu mwamba kama ingewezekana angekuwa analipwa tu na jf ..... mchango wake hapa jf ni extraordinary Kwani nimchambuzi wa soka, kwenye siasa ni mtu makini ... kwenye jukwaa la mahusiano ...yeye ni top advisor etc.....kikubwa huyu mwamba ni hatari

Extrovert ....ni mwamba mwenye akili mingi (genius) Baada ya Labani og ....ukiangalia contents zake zimeshiba madini....elimu na mambo mbalimbali ya kijamii


Nifah ....kulingana na utafiti wangu huyu mwanadada ni. Ameupiga mwingi mwaka huu Kwani unaweza sema yeye ni CIA, au mossad Kwan anapata classified Intel za ubuyu ambazo surely hua ni za ukweli

Tate Mkuu ...mwamba kaupiga mwingi kwenye upande wa futbol forum Kwa kuwa ni mtu ana comment Kila Uzi

Kalpana huyu ni member anayepitia maumivu makali Kila siku jukwaa la michezo kulingana ukindaki ndaki Kwa Simba ..ni kawaida kulala siku mbili bila kula kisa Simba [emoji23]

Robert Heriel Mtibeli ....mwamba sana huyu mwaka huu.....naweza mwita philosopher king wa jf .....mwamba anatoa madini mwanzo mwisho ...anaifanya jf kuwa kama Ile ya zamani kabla haija haribiwa na kina Mshangazi [emoji23][emoji23]

To yeye mbeya girl popote ulipo ...mauwa Yako yakufikie Kwa ukubwa ,....kuwa miongoni mwa influencer wa jf mwaka huu

NB: research hii imefanyika mwaka huu mzima.....ikitumia participatory observation.... were as a researcher I was direct involved in study population.....where I watched everything happening there ( in JF)View attachment 3133955

Waweza ongezea mwingine ambaye kaupiga mwingi
Jina lako kutokea kwenye orodha kama mpandisha uzi kunaleta shaka kama sii mchongo.
 
Siku zote anae toa tuzo na kuandaa tuzo hatakiwi kuwa yeye ndiye mshindi wa hiyo tuzo au kufungamana kivyovyote na wanao andaa ushindi wa tuzo. Hivyo namba moja ni batili
Wivuuuuu mama......

Wivuuuuu mama.....

Hawataki kunifollow .... wivuuuuu
 
watu wenye mchango mkubwa hapa jf
Bantu Lady , ana hekima na busara sana huyu dada.

Nifah , huyu sasa hivi yuko kwenye penzi zito, hashauriki.

Cute Wife , anajitahidi sana kwenye uandishi!

Evelyn Salt , huyu ana majibu fulani ya kisela a.k.a makavu live!

To yeye , huyu anapenda sana yale mambo yetu!

Aaliyyah , huyu anapenda sana kupika!

Shadeeya , hana tofauti sana na To yeye

Lamomy , huyu kama To yeye

Missy Gf , huyu naye kama To yeye

cocastic , huyu nafikiri ndiye gwiji kwenye yale mambo coz yeye mwenyewe aliweka wazi mwenyewe! Kingine: Alisema yeye ni mzuri sana mpaka Makumbusho walimshangaa sana!

Joanah , huyu hana tofauti sana na Evelyn Salt na anapenda sana kusuka mikeka!

leo dada, huyu naye kama To yeye

Hannah , mpole sana huyu dada??

Kapeace , mpole ila jichanganye uone kichambo!

Madame B , huyu mkongwe kwenye kila nyanja!

financial services , huyu, dah, ngoja tukae kimya!

Nb: Wote pokeeni maua yenu!
 
Back
Top Bottom