Hawa ndio waliomuua kamanda Yahya Sinwar, nao wameuawa Gaza

Hawa ndio waliomuua kamanda Yahya Sinwar, nao wameuawa Gaza

The butcher of Khan Younis.Kuna stori yake moja aliwakamata mainformer akawachimbia makaburi ,akawazika hai na juu akamwaga zege.Ila mwisho kafa kashikilia mkoma kama mchunga ng'ombe wa Kisukuma(Yahya Sinwar).
 
Palestine wamepigika,mpaka huruma.
bado wameshilia mateka ndani ya Palestine, Trump kachimba biti mateka waachiwe kabla hajaingia Ikulu wiki mbili zijazo.

Sasa hao ma spy wa Israel na vinu vyao vya kivita vya kujimbua majengo, na vichochoro vyote vya nchi / jiji la Palestina wamevishika wao.... na bado wameshindwa kuokoa mateka wao.... tunasemaje Palestina wameshindwa vita ??
 
We zwazwa mnunua udongo mm mweusi nimesoma history ya langi yangu ilivopitia tabu zama kwa zama nilichogundua nikweli watu weupe Duniani kote wametusurubu sana lkn Ajabu ipo apa DINI ya kiislamu ndio ilikuja kumkomboa ntu Mweusi Duniani kama sio DINI hiii meteso kwa watu weusi Yangekuwa makubwa kuliko aya tunayoyajua mtume muhamad SAW. Ndio anemfanya mtu mweusi asaminiwe Dunian tofauti na mipolojo yenu ya kitoto mnayolishwa uko makanisani ata ukifatiliwa msomi mkubwa marekani wa history Malcolm X moja wapo kilichomvutia kuwa muislamu ni kugundua Dini ya kiislamu imempa heshima mtu mweusi na ndio mana kinyume na propaganda zenu za kitoto watu weusi tiii wapo wengi YEMEN WAPO WENGI SAUDIA WAPO WENGI MISRI yani ao ni raia kabisa wa apo. OMAN ndio usiseme tena wa Oman wanaongea kiswahili angalia ligi ya SAUDIA cheki mashabiki utawaona weusi wenzetu wamenoma sana wapo na furaaa sana kuliko ww mfanya propaganda umechokaaa ngozi yko yenywe shida kibao lkn .oyo wako kumejaaa chukii na Waarabu au Uslamu afu nilichogundua awa wafanya propaganda ni wachovu sana kiakili kipesa nakusiii mm ondosheni chuki zenu maisha yatakuwa mepesi kwenu siku moja upate bahati ya kufika izo nchi za Waarabu ndio tokea apo utajiona ulikuwa Zoba sana. Sisi mafukala mno kwao ukiacha nchi chache zenye vita.
Pole ndugu. Unatumia nguvu kubwa sana kutukana matusi kuliko kuelimisha. Waarabu na dini yao,, waliyotutendea watu weusi ni maovu yaliyo wazi. Mfano ni hapo Sudan wanavyochinja watu weusi kama kuku na uarabuni mpaka leo. Hapo Palestine kwa macho yangu kwenye clip ,,nimeona muislam mweusi akinyimwa chakula kwenye foleni ya misaada na wanaogawa misaada kisa tu ni mweusi. Unapoitukana ngozi yangu imechoka, unatuthibitishia ubaguzi na chuki uliyo nayo kwa mtu mweusi. Unaishi Tanzania na bado unawatukana Watanzania halafu niupende uislam kwa lipi. Waarabu na waislam ni wauaji.
 
Naona unaanzisha ligi wakati dunia yote inajua wapalestina ndio wenye ardhi yao, na sio wale makafiri
Mayahudi, Yesu, Mariam, na WAKRISTO walioandikwa katika Quran, waliishi wapi ? Maana waarabu wanaidai mpaka Yerusalem ni mali yao. Uislam ulianza mwaka 610: AD na ukristo upo tangu 34: AD. Uislam ni kitukuu cha ukristo kwa miaka zaidi ya 580. Uislam unatumia nguvu, ubaguzi na mauaji kujitangaza. Minorities wa madhehebu na dini ndogo walioko Uarabuni wapo utumwani na kifungoni, hawana uhuru ni kama wako jela
 
The Zionist occupation kills a number of its prisoners held by the Palestinian resistance during the military aircraft’s bombing of a place where they were located, and the bombing was repeated to confirm their deaths 🇵🇸🔻
 
Enemy media : 17 "Israeli" soldiers were transferred to the hospital yesterday, Wednesday, in critical condition, after being injured in battles in the northern Gaza Strip.
 
Pole ndugu. Unatumia nguvu kubwa sana kutukana matusi kuliko kuelimisha. Waarabu na dini yao,, waliyotutendea watu weusi ni maovu yaliyo wazi. Mfano ni hapo Sudan wanavyochinja watu weusi kama kuku na uarabuni mpaka leo. Hapo Palestine kwa macho yangu kwenye clip ,,nimeona muislam mweusi akinyimwa chakula kwenye foleni ya misaada na wanaogawa misaada kisa tu ni mweusi. Unapoitukana ngozi yangu imechoka, unatuthibitishia ubaguzi na chuki uliyo nayo kwa mtu mweusi. Unaishi Tanzania na bado unawatukana Watanzania halafu niupende uislam kwa lipi. Waarabu na waislam ni wauaji.
Wewe zwazwa tu mfanya propaganda iyo wewe na Malcolm X nani anajua zaid kuusu history iwe ya mwarabu iwe ya mzungu ukiitwa zwazwa unaonewa lini yani Boga kweli ww kuusu ubaguzi ikiwa unaona Uslamu unabagua je izo iman zengine weka apo Dini yako ww iman gani chuki yangu mm seem yoyote anapogmbaguliwa mtu mweusi Dini mbonu kwelikweli inabagua Binadam mweusi ukiacha wachina cristian nomaaa embu ona zwazwa ww kuna PAPA mweusi tangu hii Dunia imeubwa mipapa yote MIZUNGU!!!!!! 2/ ZWAZWA WW MUNGU WENU kafananishwa na MZUNGU sio mtu mweusi inaezekanaje mweusi kaumbwa nanani ikowa MUNGU MZUNGU na MUNGU ATAKI PAPA awe mweusi anambagua Manake Mungu nae anazambi za kubagua langi!!!!!! 3/ malaika angel's nao sio wabantu heeeeee malaika wate nao Wazungu akuna mweusi atammoja inawezekana vipi zwazwa ww unabaguliwa adi kwenye DINI kichefuchefu ichi yani MUNGU mzungu mtoto wake wakike au mke wake ndio malaika ungese zaid langi nyeusi kwenye Ukristo ni laaana yani mtu muovu jini Baya baya ndio wamekuweka mtu mweusi ongella mwenzangu umebalikiwa sana ndani ya ukristo mbaya tena uyu uyu mweusi kama ww apo ulipo unatetea ungese huuu weusi wengi awajashtuka ungese huu kuwa sio kweli mtu mweusi sio laaana badala yake ata uyo Yesu wana history wenye nguvu Dunian wanatilia shaka kusema Yesu alikuwa Mzungu wao wanadai kipindi kile eneo la mashariki ya kati akukuwa na Wazungu kabisa,, ila kulikuwa na watu weusi lkn mzungu akajivalisha yeye u YESU badala ya mtu mweusi basi ata UPAPA pia mweusi kanyimwa na ndio ivo langi yake imekwa kwenye laaana. Sasa wewe zwazwa badala upigane ktk kweli kulinda langu ya mweusi inayo dhalilishwa kupitia Dini ww upo kuusakama Uslamu eti zwazwa ww unabagua mtu mweusi!!!!!!!!
 
Wewe zwazwa tu mfanya propaganda iyo wewe na Malcolm X nani anajua zaid kuusu history iwe ya mwarabu iwe ya mzungu ukiitwa zwazwa unaonewa lini yani Boga kweli ww kuusu ubaguzi ikiwa unaona Uslamu unabagua je izo iman zengine weka apo Dini yako ww iman gani chuki yangu mm seem yoyote anapogmbaguliwa mtu mweusi Dini mbonu kwelikweli inabagua Binadam mweusi ukiacha wachina cristian nomaaa embu ona zwazwa ww kuna PAPA mweusi tangu hii Dunia imeubwa mipapa yote MIZUNGU!!!!!! 2/ ZWAZWA WW MUNGU WENU kafananishwa na MZUNGU sio mtu mweusi inaezekanaje mweusi kaumbwa nanani ikowa MUNGU MZUNGU na MUNGU ATAKI PAPA awe mweusi anambagua Manake Mungu nae anazambi za kubagua langi!!!!!! 3/ malaika angel's nao sio wabantu heeeeee malaika wate nao Wazungu akuna mweusi atammoja inawezekana vipi zwazwa ww unabaguliwa adi kwenye DINI kichefuchefu ichi yani MUNGU mzungu mtoto wake wakike au mke wake ndio malaika ungese zaid langi nyeusi kwenye Ukristo ni laaana yani mtu muovu jini Baya baya ndio wamekuweka mtu mweusi ongella mwenzangu umebalikiwa sana ndani ya ukristo mbaya tena uyu uyu mweusi kama ww apo ulipo unatetea ungese huuu weusi wengi awajashtuka ungese huu kuwa sio kweli mtu mweusi sio laaana badala yake ata uyo Yesu wana history wenye nguvu Dunian wanatilia shaka kusema Yesu alikuwa Mzungu wao wanadai kipindi kile eneo la mashariki ya kati akukuwa na Wazungu kabisa,, ila kulikuwa na watu weusi lkn mzungu akajivalisha yeye u YESU badala ya mtu mweusi basi ata UPAPA pia mweusi kanyimwa na ndio ivo langi yake imekwa kwenye laaana. Sasa wewe zwazwa badala upigane ktk kweli kulinda langu ya mweusi inayo dhalilishwa kupitia Dini ww upo kuusakama Uslamu eti zwazwa ww unabagua mtu mweusi!!!!!!!!
Elimu Dunia umesoma kweli?
 
Elimu Dunia umesoma kweli?
Itakusaidia nn mnunua udongo ww na mwenyewe umelidhika na DINI yako kukuona ww mweusi laana. Bado unaoji elimu za wengine!!!!! Mzungu kawapa limbwata la milele amina!!! Ikiwa Wazee walipotea ww unashindwa kujitambua!!
 
Itakusaidia nn mnunua udongo ww na mwenyewe umelidhika na DINI yako kukuona ww mweusi laana. Bado unaoji elimu za wengine!!!!! Mzungu kawapa limbwata la milele amina!!! Ikiwa Wazee walipotea ww unashindwa kujitambua!!
Duuuh. Naona jambia liko tayari kuchinja makafiri.
 
Duuuh. Naona jambia liko tayari kuchinja makafiri.
Nyie Wazungu walishawaweza toka Bsbu zenu kwasasa Mzungu anachekea chooni awaamini mpango wao jinsi umefanikiwa kuwafana watu wawaabudu wao WAZUNGu
 
Identity za IDF soldiers zote ni top secret sura zao hazionyeshwi sasa hawa waliwatambuwaje kwamba ndio walio muuwa sinwar ?
Hapo ndipo ujue jamaa hawa wanajifariji tu maana Israel inawapa kipondo cha kufa mtu!!
 

Attachments

  • 1650253483180738826.mp4
    1.5 MB
Nyie Wazungu walishawaweza toka Bsbu zenu kwasasa Mzungu anachekea chooni awaamini mpango wao jinsi umefanikiwa kuwafana watu wawaabudu wao WAZUNGu
Uhalisia ni huu. Weupe bila kujali aina ya weupe, iwe mzungu , mwarabu, mchina nk wametuchukulia waafrika weusi kama watu daraja la mwisho (la nne) na mahali pa kujichotea mali kupitia dini. Mtu mwenye akili kama zako Mdogoye unawaona waarabu na dini yao ndiyo Mungu wako. Na wengine wanawaona wazungu na dini yao kama Mungu wao. Ingewezekana tukakaa tukachambua vizuri lengo la hao weupe wote tusingetukanana mitusi michafu kama ya huyo mdogoye. HISTORIA inaonyesha waafrika weusi tulivyoumizwa na watu weupe wote na vitabu vipo lakini anajitokeza mtu kutetea ouvu wa mtu mweupe kwa kisingizio cha dini. Aibu.
 
Uhalisia ni huu. Weupe bila kujali aina ya weupe, iwe mzungu , mwarabu, mchina nk wametuchukulia waafrika weusi kama watu daraja la mwisho (la nne) na mahali pa kujichotea mali kupitia dini. Mtu mwenye akili kama zako Mdogoye unawaona waarabu na dini yao ndiyo Mungu wako. Na wengine wanawaona wazungu na dini yao kama Mungu wao. Ingewezekana tukakaa tukachambua vizuri lengo la hao weupe wote tusingetukanana mitusi michafu kama ya huyo mdogoye. HISTORIA inaonyesha waafrika weusi tulivyoumizwa na watu weupe wote na vitabu vipo lakini anajitokeza mtu kutetea ouvu wa mtu mweupe kwa kisingizio cha dini. Aibu.
Sasa mkuu ukisoma vizuli mwanzo uko juuu mm nilikuwa najibu hoja sikuanzisha hii haja zwazwa moja umu lilitaka kufanya propaganda kuwa mwarabu anachuki na ngozi nyeusi!! Lkn Mzungu akumtaja japo ww umekuja vizuli lkn ukisoma vizuli nilichojibu mwanzo namm nilikili ichoicho ulichosema ww watu weupe wote wanazambi kwetu Watu wa mashariki ya kati walikuwa sawa tu na Wazungu enzi izo lkn ulipoingia UISLAM mashariki ya kati mtu mweusi akapata mtetezi wake wa kweli ilikuwa sio kazi ndogo lkn Uislam na mtume wake muhamad S.A.W aliakikisha utu wa mtu mweusi unasaminiwa kwenye alakati iyo jamiii kubwa ya wakati huo ilimbeza na kumtukana kumdhiaki kwayeye kutaka langi Nyeusi isaminiwe sawa na langi nyeupe ktk UISLAM kuna jina la BILAL uyu mwamba au Swawaba wa mtume muhamad S.A.W ndio alikuwa kielelezo cha ubola wa mtu Mweusi kwawale wasiojua Bilal mtu mweusi uyu bwana kapitia mateso makubwa sana kisa tu kasilimu kuwa muislamu tena kwa sili lkn mwajili wake au mtu aliekuwa anammiliki uyo Bilal akajua bahati mbaya zaid uyo mmiliki wake ni ktk watu wakubwa sana apo MAKA uyo boss wake na wenzie walikuwa wanafanya alakati za kuudhima UISLAM kwakuwa unapingana na miungu yao wao walikuwa wanaamini miungu ipo mingi sio Mmoja kama UISLAM unavosema na kwakuwa wao ndio Watawala wa apo MAKA ikawa sasa UISLAM unaenezwa kwa sili sana lkn Boss wa BILAL akajua alikasilika sana alimtesa sana Boss akitaka Bilal aukane UISLAM na arudi kuamini mungu wao wa mwanzo!! Yani ipo ivi . Mtu mweusi kabla ya UISLAM kutawala ayo maeneo na kumtoa mtu kwenye utumwa M"baya sana ilikuwa ivi mtu mweusi nikama mnyama tu ananunuliwa na kuuzwa chakuuzunisha zaid ilikuwa wewe mweusi ukifanya jambo zuli kwa Boss wako uyo Boss anaweza kukununulia mke lkn ukizaa uyo mtoto nae anakuwa wa Boss mali yake!!! Chakusikitisha tena siku Boss umemuudhi umempa asala anaweza kumwamisha mkeo adi atake yeye kumrudisha akifurai au akamuuza kabisa kwa Boss mwengine kwaiyo kijumla mtu mweusi alikuwa anaonekana kama mnyama tu Bilal aliwekewa Jiwe kubwa kufuani kwake akiambiwa utopewa chakula wala j alitoki apo adi uikane dini ya UISLAM kila siku Boss alikuwa anaenda kumwangalia kama kafa au yupo hai anaenda chapa mboko kashaa akitaka ivyo Bilal arudi kuabudu Masanamu yao mwamba kufa akufa na kila akichapwa yeye anamtaja mola wake yani ALLAH tu. Habari zikamfikia Mtume Muhamad S.A.W wakashauliana na Shawaba mwengine akiitwa ABUBAKAR BIN SADIQ uyu bwana alikuwa anaelewana na Boss wa Bilal akamfata ukouko kwenye mateso akafanikiwa kumtoa Bilal kwenye mateso kwa Kupewa watumwa wawili wengine wa iman ya uyo BOSS Abuu alitumia akili ya kumdanganya kuwa anamuonea uruma uyo Boss kwa kujipa presha kila siku kuusu uyu mtumwa embu mwache nakupa mm watumwa wawili ndipo Boss akakubali lkn alikuwa ataki mwanzo kumwachia adi afe au aukane UISLAM!! Kutoka apo Bilal akawa huru kabisa kwa pamoja na Mwaswahaba mwengine wakiendelea kueneza DINI Bilal uyu mtu mweusi ndio mwasisi wa kinachoitwa AZANA ukisikia nyumbani kwako sauti ya Azana kwenye misikiti popote Duniani ujue mwasisi na mtu wa kwanza kuazini ni BILAL pale mkisikia MAKA kwenye jiwe la KABA jiwe jeusi ile seem miaka na miaka ilikuwa ni marufuku kwa mtu mweusi kusogelea pale unaweza bingwa mboko 50 kizembe zembe. Lkn chini ya UISLAM uyo BILAL sio kusogelea tena alipanda juu ya iyo KABA au jiwe jeusi ndipo akatoa AZANA ya kwanza DUNIANI ndio mana utaona maeneo mbalimbali Dunian kuna tahasisi za kidini zikitumia jina la BILAL misikiti ikitumia jina la BILAL apa Dar es salaam pale chuo cha CBE akiba kuna msikiti pia unatumia jina la BILAL chakushangaza zaid kuusu BILAL pamoja na kuwepo madhehebu ktk UISLAM kwasasa lkn ajabu madhehebu yote yanamueshim sana BILAL bila kujali SUNI AU SHIAH lkn zaid mtume Muhamed S.A.W kupigilia msumali hotuba yake ya mwisho kabla Ajafariki aliwaambia waumini wote waliokuwa wanamsikiliza kuwa akuna m'bora kati yenu kwasababu ya langi yake au kabila lake mbele ya mwenyezi mungu mtu m'bora miongoni mwenu kwa mwenyezi mungu ni yule tu mchamungu. Kwamaana mchamungu yoyote ata akiwa mtu mweusi kwamungu yeye ndio mwenye Samani. Aya ndio yalimfanya Gwiji la history MALCOLM X kusilimu na toka apo kusilimisha umati mkubwa wawatu weusi nchini Marekani akiwemo muhamad ALI kina Abdul Jabar mcheza Basketball mahaarufu nchini Marekani DINI PEKEE dunian miaka kwa miaka uko nyuma ilimkomboa mtu mweusi, lkn Leo mtu mweusi kwakumezeshwa propaganda au kuzaliwa akiwa iman nyengine anakubali kufanya propaganda asioijua kuusu UISLAM eti inabagua langi. FBI ndio walimuua MALCOLM X sababu alikuwa akipigania haki ya mtu mweusi na kumtaka mweusi kuachana na DINI ya wabaguzi na wakoloni FBI ikaona uyu sasa hatari zaid ya hatari tafuteni history ya MALCOLM X mjue namna alichachafya wazungu kupings ubaguzi wa langi kipindi icho ilikuwa Marekani mtu mweusi anasamani yoyote mfano kwenye usafiri wa uma mtu mweusi aijalishi umri wake awe mzee akipanda tu mzungu mfano kwenye daladala basi mweusi uinuka kwenye siti ili mzungu akae atakama kitoto cha kizungu lkn mweusi ni mzee lazima apishe siti!!!!!! MALCOLM X alipambana sana kuleta migomo iliopelekea kusambalatika kwa kias kikubwa ubaguzi nchi Marekani uyu ndio mwamba wa kweli aliotetea watu weusi nchini Marekani lkn kwasababu za kidini Marekani kwa unafiko wao wanajidai kumpamba Martin LUTHER king lkn ukweli mwamba alikuwa MALCOLM X ndiomana walimpiga shaba, ktk jimbo alikokuwa MALCOLM anafanya alakati zake mwanasheria wa ilo jimbo aliwai kunukuliwa akisema wkt MALCOLM X yupo hai kuwa ni heri kupambana na wanasiasa elfu 1 kuliko kupambana na msomi mwa history mmoja wa mfano wa MALCOLM X uyu jamaa ndio aliunguza picha kuwa Wazungu Marekani sio kwao kama sisi tulitoka Africa nisawa kabisa lkn nawao ni kutoka Ulaya na wanazambi kubwa kwa kuwauwa Red Indian wenye asili ya Marekani ile Marekani yote ni ya Waindi wekundu uko Canada pia kuna kashta kubwa kanisa Katoliki lilishiliki kuwauwa awa red Indian lililazimisha kuwachakuwa watoto kutoka kwenye Familia zao wakidai wanaenda kuwalea kumbe ni mpango kuwauwa kuwafunga uzaz wenyeji kimyakimya ili kufanya kizazi cha wazungu ndio kiwe kikubwa kuliko cha wenyeji, Niwaombe ladhi huu ujumbe sijafanya uhalili kuondosha makosa ktk uhandishi. Niwatakie asubui njema watanzania wenzangu.
 
Back
Top Bottom