lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Ww wakati una mke kabisaUkweli kuhusu mimi
1.nina kazi
2.sina hela kwa sasa ila huwa napata
3.sina gari
4.sina kiwanja
5.sina mke
6.sina mtoto
7.sina laptop
8.sina passport
List ni ndefu sana
Alimtema majuz,Ww wakati una mke kabisa
1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.
Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.
Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.
Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.
Kuwa macho ndugu yako
Mhhh lbd alimkimbia kwa sabb ya naniiiiii😂Alimtema majuz,
Alihisi ametoka kuliwaMhhh lbd alimkimbia kwa sabb ya naniiiiii😂
😂😂😂Angemwambia achuchumae akampima kwa kidoleAlihisi ametoka kuliwa
Mwambie huyo [emoji23][emoji23][emoji23]Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.
Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?
Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.
Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.
Acheni uzushi na uongo.
Unaumiaje na jf partner nipoKuna shida napitia japo ni za muda zinapita ila zinaniumiza kiukweli
Asante,ila litapita.Vp umeamkaje?Unaumiaje na jf partner nipo
Hili nalo mkaliangalie wanaJF.
Tangu huu Uzi uasisiwe wana Jf wote wamekuwa wapangaji na hawana magari kama mimi
Huyu nadhani wa MadrasaMwalimu Sharifu ndo nani?
💯🤝 wengine jf ni kama kijiwe tu cha ku-buy time kuchangamsha kijiwe siku iendePia sio kila kinachoandikwa humu uchukulie serious Sana, ukiamini 100%