Hawa ndio wana JamiiForums niliokutana nao

Hawa ndio wana JamiiForums niliokutana nao

1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.

Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.

Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.

Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.

Kuwa macho ndugu yako
Umesahau JF hakuna One minute man ,wote ni dakika 40 hadi lisaa,
 
Ukitaka kujua Kuna WanaJF wanashida lukuki jaribu kutembelea Uzi huu wa Makapuku Forum.

 
1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.

Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.

Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.

Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.

Kuwa macho ndugu yako
Kuna nyuzi humu zinapingana na usemayo,
Mfano No. 11 inapingana kbs na reality...daily nyuzi za kutafuta wenza zipo humu. Za kutafuta ajira kadharika, watu wana mtajinwa Afu 70 wanaomba ushauri wafanye biashara gani, watu wanauoiza ni wapi wanaweza pata motorcar kwa Mil 1.5.

Concl.
Ume generalize sana, humu JF ni kama jamii yyt ile popote pale wanatofautiana kwa health na wealth pia.... na majority wapo real isipokuwa wachache ambao wanajikweza wakikinzana na hali zao halisi!!
 
Kuna nyuzi humu zinapingana na usemayo,
Mfano No. 11 inapingana kbs na reality...daily nyuzi za kutafuta wenza zipo humu. Za kutafuta ajira kadharika, watu wana mtajinwa Afu 70 wanaomba ushauri wafanye biashara gani, watu wanauoiza ni wapi wanaweza pata motorcar kwa Mil 1.5.

Concl.
Ume generalize sana, humu JF ni kama jamii yyt ile popote pale wanatofautiana kwa health na wealth pia.... na majority wapo real isipokuwa wachache ambao wanajikweza wakikinzana na hali zao halisi!!
Nimesema niliokutana nao. Muwe mnasoma kwa kutulia
 
Japokuwa Kwenye suala la Pesa ni kwl tunadanganyana mno ila kwakweli kwa usomi watu ni wasomi humu ndani wengi elimu yao aghalabu ni ya ngazi ya chuo....ukikuta mdada huku naye anajielewa msomi, huwezi fananisha jamii forums na Facebook au insta....Wasomi hapa wako......
JF hakuna wadada...
labda 'wabibi...'

Ila kuna wanaotumia IDs za kidada kwa sababu maalum tu!
 
Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.

Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?

Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.

Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.

Acheni uzushi na uongo.
Ulipotea sana aisee
 
1. Wote wana magari
2. Wote wana majumba yenye majina ya kizungu ie contemporary house, bungalow, crib, mansion na kadhalika.
3. Magari waliyo nayo ni ya gharama kubwa, hamna mwenye vits wala IST.
4. Elimu zao ni kubwa kama nyumba zao na magari yao.
5. Wote ni maboss
6. Wote ni wafanyabiashara wakubwa.
7. Wote ni watu wa safari sana, zile safari za nje ya bara letu.
8. Wote walizipeleka familia zao vacation
9. Wote wamesoma shule nzuri za kimataifa
10. Wote walikuwa wakali sana darasani.
11. Wote wana wenza wenye hela nyingi na wazuri sana.
12. Wote familia zao ni bora sana na zina upendo wa hali ya juu sana.
13. Wote wanatumia simu kali na za juu. Techno na infinix wanawapa walinzi wao
Wote wana access na mkuu wa nchi muda wowote watakao.

Usiwaamini mtu hapa jukwaani, watu wamechoka balaa.
Watu hawana ajira, wanapost kuwa wao ndio wana uwezo wa kuajiri.

Watu hawana mitaji lakini hapa wanajiita wafanyabiashara wakubwa.

Hawana pesa ya kulipa pango la nyumba, wanaishi kama digidigi kwa kuwakimbia wenye nyumba walizopanga, lakini wakiwa hapa jukwaani wanajiita Land lord.

Kuwa macho ndugu yako
Siri imevuja...
 
Kudai kwamba wote wako hivi au wote wako vile ni uongo. Ni uzushi.

Je, kati ya hao wanaJF ‘wote’ nawe umo?

Sijawahi kuona popote pale hapa JF ambapo kila mtu alisema ana gari au yeye ni bosi au sijui kasoma shule bora.

Hiyo ‘wote’ ni projection yako tu.

Acheni uzushi na uongo.
Nice
 
Back
Top Bottom