Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #21
alikuwa klabu gani huyu?Yeah hawa ndo wetu sie, bila kumsahau Celestine Sikinde Mbunga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikuwa klabu gani huyu?Yeah hawa ndo wetu sie, bila kumsahau Celestine Sikinde Mbunga.
Mbona hawa nao ni juzi tu.Hapa hapanifai kutokana na umri, nikajua ningeona majina ya Kina Kenneth Mkapa, Zamoyoni Mogela, Issa Athumani, Fumo Felician, George Masatu na wengineo.
hahaaMbona hawa nao ni juzi tu.
Bora kina Adam Sabu,Gipson Sembuli, Hussein Ngulungu,nk,nk
Timu ya Wananchi, winga teleza.alikuwa klabu gani huyu?
mlio tupiga 5 juzi,Timu ya Wananchi, winga teleza.
Nikajua utanitajia kina Sembuli na Dilunga.Hapa hapanifai kutokana na umri, nikajua ningeona majina ya Kina Kenneth Mkapa, Zamoyoni Mogela, Issa Athumani, Fumo Felician, George Masatu na wengineo.
Hapo sawa akina Kitwana Manara,Michael Elias,Kajole,Haider etcMbona hawa nao ni juzi tu.
Bora kina Adam Sabu,Gipson Sembuli, Hussein Ngulungu,nk,nk
Daaah......orodha ni ndefu SanaNikajua utanitajia kina Sembuli na Dilunga.
Hii maana yake orodha ni ndefu Sana kulingana na wakati.Mbona hawa nao ni juzi tu.
Bora kina Adam Sabu,Gipson Sembuli, Hussein Ngulungu,nk,nk
huyu manara nasikia alikua moto wa kuotea mbaliHapo sawa akina Kitwana Manara,Michael Elias,Kajole,Haider etc
Ilikuwa nouma Sana, bahati mbaya kwao Mpira haukuwa biashara zaidi ya burudani kipindi hicho.Nami napita kimya kimya hapa, kumbe mtoa mada ni wa dot.com, wale wa kulalama na viajira vya tra!,Celestine Mbunga,aka sikinde, Peter Tino, Mohamed Richard aka Adolf, Nicodemus Njohole, Kassim Manara, yoooo kipindi nchi Ina heshima na adabu
Ndio kizazi cha sasa mkuu, hauwezi kuwakwepa hata kidogo. Na Hawa ni wako kwenye above 30yrs, kwa hiyo tusiwachukulie watoto.Hawa wa elfu 2 Hawa kazi kweli
Hahaha mimi pia naona hapa nijipitie kwa speed ya upepo... duh! Nikiwa mdogo walikuwa wanasikika sana kina Lunyamila,Mogella,..
Daaah, umemtaja Stephen Nemes, alitoka Nyota Nyekundu huyu akaenda Yanga, kipindi hicho Nyota Nyekundu ya Moto kwa rafu, watoto wauza mitumba pale mtaa wa Kongo, Mimi nimekulia Kariakoo Mtaa WA Ndanda OPP na Benjamin Mkapa Sec, Mpira kwetu ilikuwa kama utamaduni, lazima tuhudhurie, maisha yanaenda speed Sana.Hzi
Hizi ndio zilikuwa zama zetu, Edibili Lunyamila, Steven Nemes, Method Mogela, Zamoyoni Mogella, Said Mwamba Kizota, nk nk.
Una kaulegend kiaina kama ulimsikia Lunya na Mogella.Hahaha mimi pia naona hapa nijipitie kwa speed ya upepo... duh! Nikiwa mdogo walikuwa wanasikika sana kina Lunyamila,Mogella,..
hahahaa , richard adolf kuna kipindi akaja kuwa kochaNami napita kimya kimya hapa, kumbe mtoa mada ni wa dot.com, wale wa kulalama na viajira vya tra!,Celestine Mbunga,aka sikinde, Peter Tino, Mohamed Richard aka Adolf, Nicodemus Njohole, Kassim Manara, yoooo kipindi nchi Ina heshima na adabu
yaah chiefNdio kizazi cha sasa mkuu, hauwezi kuwakwepa hata kidogo. Na Hawa ni wako kwenye above 30yrs, kwa hiyo tusiwachukulie watoto.
Nastahili kwakweli, Mimi ni shabiki wa Yanga, japo sio kama kipindi hicho, nakumbuka kuna game tulifungwa na Pamba ya Mwanza, ilikuwa 3-2 pale Taifa, sitakaa nisahau Yale maumivu, Pamba ya Moto balaa, kuna mtu anaitwa Fumo Felician, George Masatu anasimama kama Mkoba, golini kwao kuna mtu alikuwa anaitwa Peter Rwechungura kama sikosei, soka lilikuwa soka.shikamoo uncle
napenda sana kujua maisha yao wachezaji hasa baada ya soka!Nastahili kwakweli, Mimi ni shabiki wa Yanga, japo sio kama kipindi hicho, nakumbuka kuna game tulifungwa na Pamba ya Mwanza, ilikuwa 3-2 pale Taifa, sitakaa nisahau Yale maumivu, Pamba ya Moto balaa, kuna mtu anaitwa Fumo Felician, George Masatu anasimama kama Mkoba, golini kwao kuna mtu alikuwa anaitwa Peter Rwechungura kama sikosei, soka lilikuwa soka.
Hilo jina usikie linatamkwa na Charles Hillary wakati huo akitangaza, tumezunguka radio mtaani, maisha hayana stress wakati huo.Yeah hawa ndo wetu sie, bila kumsahau Celestine Sikinde Mbunga.