Hawa ndio Wasakata kabumbu maarufu nchini, mimi nikiwa shule ya msingi huko mkoani!

Hawa ndio Wasakata kabumbu maarufu nchini, mimi nikiwa shule ya msingi huko mkoani!

Lunyamila ni WA miaka ya 90 hv, nafikiri ni mmoja wa wachezaji Bora kabisa kutokea Tanzania, alitokea Shinyanga huyu kama sikosei, Jamaa alikuwa na chenga balaa,kuna story nilisikia kwamba Marehemu Abbas Gulamali alihakikisha Jamaa anarudi kutoka Germany alipokwenda kujaribu kucheza soka la kulipwa ili tu aje acheze game na Simba, sikupata uhakika wa hii story ila Jamaa Mpira alikuwa anaujua Sana.
Yah ni kweli, wachezaji zamani kdg walikuwa na ukasumba wa kukubali
Ana na matajiri wao huku wacheze tu bongo....
Wakati tayari walishapata nafasi nje

Ova
 
Said mwamba kizota ilikuwa machine ya ufungaji nayo
Nmewakumbuka wakina gagarino,kuna huyu wa nyuma kdg
John makelele zigzag

Ova
mkuu una data nyingi sana za soka la nchi hii. vp unaweza simulia chanzo cha mchezaji wa simba kufia uwanjani miaka hiyo?
 
1.Nurdin Bakari
2.Abdi Kassim Babi
3.Joseph Kaniki
4. Niko Nyagawa
5. Fredrick Mbuna
6. Juma Jabu JJ
7. Meshack Abel
8.Shamte Ali
9. Said Bahanuzi
10.Emmanuel Gabriel Mwakyusa
11.Mrisho Khalfani Ngasa

Hawa wakongwe nataka kujua kwa sasa wako wapi! je vilabu vina thamini mchango wao kwenye soka.
1. Steven Nemes
2. Bakari Malima Jembe Ulaya
3. Slyvatus Ibrahim Polisi
4. Banza Tshikala
5. Eustas Isack Bajwala
6. Anwar Awadh Kaicho
7. King Ken Mkapa Dalglish
8. Salvatory Edward Augustino
9. Sekilojo Johnson Chambua
10. Mohamed Husein Mmachinga
11. Ebily Jonas Lunyamila
12. Yusuf Fundi
13. Efraem Makoye
14. Said Maulid SMG
15. Chibe Chibe Chibindu
16. Mzee Abdalah
17. Mohamed Abdulkadir Tash
18. Abubakar Kombo
19. Henry Moris Ng'oye
20. Ally Yusuf Tigana
21. Abdul Maneno
22. Paul Jonh Masanja
23. Peter Manyika
 
1. Steven Nemes
2. Bakari Malima Jembe Ulaya
3. Slyvatus Ibrahim Polisi
4. Banza Tshikala
5. Eustas Isack Bajwala
6. Anwar Awadh Kaicho
7. King Ken Mkapa Dalglish
8. Salvatory Edward Augustino
9. Sekilojo Johnson Chambua
10. Mohamed Husein Mmachinga
11. Ebily Jonas Lunyamila
12. Yusuf Fundi
13. Efraem Makoye
14. Said Maulid SMG
15. Chibe Chibe Chibindu
16. Mzee Abdalah
17. Mohamed Abdulkadir Tash
18. Abubakar Kombo
19. Henry Moris Ng'oye
20. Ally Yusuf Tigana
21. Abdul Maneno
22. Paul Jonh Masanja
23. Peter Manyika
huyu 14:Said maulid SmG nasikia ulikua moto wa tanuru ,kaa nae mbali kabisa
 
1. Stivin Nemmence (jamaa alikuwa bonge bonge lakini bonge moja la kipa kuwahi kutokea.

2. Sekilojo Chambua (Tukuyu stars akaja YANGA
3. Niko Bambaga (Tukuyu stars
4. Asanga Aswile (Tukuyu stars
5. David Kufakunoga (Tukuyu stars
6. Likupilika Mkoba (Tukuyu stars
TUKUYU STARS ENZI HIZO IKIJULIKANA BANYAMBALA yaani WANAUME.
Nimewataja wengi wa Tukuyu stars ksbb mkoa wa Mbeya hususani wilaya zake una historia kubwa kwenye soka la bongo. Huo mkoa umezalisha wachezaji wengi ligi ya bongo.
Pia Tukuyu stars ilipanda daraja moja kwa moja na kuchukua ubingwa wa bara. Kuna mwaka Tukuyu stars iliiokoa simba kushuka daraja. Hiyo mechi japo nilikuwa mdogo,lakini nakumbuka,ilichezewa Sokoine mjini mbeya,ili kunusuru simba isishuke Tukuyu stars ikafungwa goli kitu kama 6. Hiyo mechi ilikuwa ya mwisho wa ligi. Simba ingedroo au hata kushinda chini ya magoli 6 ingeshuka daraja. Kwa sababu ya historia YANGA na simba ingekuwa aibu simba kushuka. Kwa hiyo Tukuyu stars ikashuka badala ya simba. Mwaka uliofuata ikapanda tena daraja.
Wenye kujua zaidi hapa wanaweza kujazia na kunisahihisha. HISTORIA


7. Edibilly Jonas Lunyamila (bonge moja la mshambuliji(alitokea nadhani Tabora huko,akachezea kwa mafanikio sana YANGA. (Sasa hivi nafikiri yuko kwenye uongozi TFF)

8. Fumo Ferisian
9. Pawasa (kutoka pamba,enzi hizo ikisifika wana TP Lindanda-sijui ilikuwa na maana gani? Akachezea kwa mafanikio simba
10. George Masatu pia alitokea pamba akaenda simba
10. Mhamed mwameja (Simba)
 
1.Nurdin Bakari
2.Abdi Kassim Babi
3.Joseph Kaniki
4. Niko Nyagawa
5. Fredrick Mbuna
6. Juma Jabu JJ
7. Meshack Abel
8.Shamte Ali
9. Said Bahanuzi
10.Emmanuel Gabriel Mwakyusa
11.Mrisho Khalfani Ngasa

Hawa wakongwe nataka kujua kwa sasa wako wapi! je vilabu vina thamini mchango wao kwenye soka.
Wewe tutakuwa tunalingana kiumri, mimi pia nilikuwa shule ya msingi na nilimpenda zaidi Nadir Haroub Cannavaro.

Ngoja niongeze list
12. Shadrack Nsajigwa
13. Amri Kiemba
14. Jerry Tegete
15. Erasto Nyoni
16. Ulimboka Mwakingwe
17. Mgosi
18. Victor Costa
19. Selemani Matola
N.k
 
Lunyamila ni WA miaka ya 90 hv, nafikiri ni mmoja wa wachezaji Bora kabisa kutokea Tanzania, alitokea Shinyanga huyu kama sikosei, Jamaa alikuwa na chenga balaa,kuna story nilisikia kwamba Marehemu Abbas Gulamali alihakikisha Jamaa anarudi kutoka Germany alipokwenda kujaribu kucheza soka la kulipwa ili tu aje acheze game na Simba, sikupata uhakika wa hii story ila Jamaa Mpira alikuwa anaujua Sana.
Ni kweli, mi nikiwa A Shy yeye Alex Nashon alikuwa O level nadhani F1 Buhangija Sec School. Ila alisumbua sana Umiseta toka akiwa F1 alikuwa anachaguliwa hadi taifa. Gulamali alimpandia dau akiwa F4 mwaka 92.
 
Back
Top Bottom