Hawa ndio Wasakata kabumbu maarufu nchini, mimi nikiwa shule ya msingi huko mkoani!

Hawa ndio Wasakata kabumbu maarufu nchini, mimi nikiwa shule ya msingi huko mkoani!

wewe rika yangu, huyo bahanuzi alikua wa moto.

nahisi bahanuzi angewika kipindi hiki cha social media sijui ingekuwaje. na alishaini sana kagame cup pekee
Nilikua class 2 kila asubuhi nikienda shule nakutana nae ametoka mazoezini, ni handsome balaaa ananivutia.
Nikauliza binamu yangu huyu kaka kila siku tunakutana nae ni nani?
Akanambia Bahanuzi huyo mchezaji wa Yanga🙌😂 Tokea siku hiyo na mimi nikawa YANGA💛💚
 
Nilikua class 2 kila asubuhi nikienda shule nakutana nae ametoka mazoezini, ni handsome balaaa ananivutia.
Nikauliza binamu yangu huyu kaka kila siku tunakutana nae ni nani?
Akanambia Bahanuzi huyo mchezaji wa Yanga🙌😂 Tokea siku hiyo na mimi nikawa YANGA💛💚
malizia stori, imeishia njiani hivii,,,,
 
napenda sana kujua maisha yao wachezaji hasa baada ya soka!
Wengi wamechoka, Mpira kipindi hicho haukuwa biashara kama sasa so wengi wapo mtaani Tu, Mimi nimekuwa mtaani Karibu kabisa na walipokuwa wanakaa Peter Tino, Gebo Peter na ndogo wao anaitwa Emma Peter, hii familia yote ilikuwa ina damu ya Mpira, Ila daaah, inasikitisha maana kuna wakati nilikutana na Emma Peter, kachoka kachakaa hata sijui wapo wapi sasa.

Kuna siku nilikutana na Kenneth Mkapa Arusha alikuwa poa kabisa tena tulikutana tizo asubuhi pale Sheikh Abeid, wapo wengine waliona mbali wakajiendeleza na ukocha, biashara kama Minziro,Jamhuri Kiwelu, Jamhuri alikuwa na mdogo wake anaitwa Mtwa Kiwelo sijui yupo wapi sasa, Ila ipo haja iandaliwe documentary moja kuhusu kile kizazi, nafikiri itakuwa poa Sana.
 
Wengi wamechoka, Mpira kipindi hicho haukuwa biashara kama sasa so wengi wapo mtaani Tu, Mimi nimekuwa mtaani Karibu kabisa na walipokuwa wanakaa Peter Tino, Gebo Peter na ndogo wao anaitwa Emma Peter, hii familia yote ilikuwa ina damu ya Mpira, Ila daaah, inasikitisha maana kuna wakati nilikutana na Emma Peter, kachoka kachakaa hata sijui wapo wapi sasa.

Kuna siku nilikutana na Kenneth Mkapa Arusha alikuwa poa kabisa tena tulikutana tizo asubuhi pale Sheikh Abeid, wapo wengine waliona mbali wakajiendeleza na ukocha, biashara kama Minziro,Jamhuri Kiwelu, Jamhuri alikuwa na mdogo wake anaitwa Mtwa Kiwelo sijui yupo wapi sasa, Ila ipo haja iandaliwe documentary moja kuhusu kile kizazi, nafikiri itakuwa poa Sana.
yaah documentary ni muhimu hasa kwa sisi ambao hatujawahi washuhudia
 
Lunyamila mtamuachaje

Ova
Lunyamila ni WA miaka ya 90 hv, nafikiri ni mmoja wa wachezaji Bora kabisa kutokea Tanzania, alitokea Shinyanga huyu kama sikosei, Jamaa alikuwa na chenga balaa,kuna story nilisikia kwamba Marehemu Abbas Gulamali alihakikisha Jamaa anarudi kutoka Germany alipokwenda kujaribu kucheza soka la kulipwa ili tu aje acheze game na Simba, sikupata uhakika wa hii story ila Jamaa Mpira alikuwa anaujua Sana.
 
Back
Top Bottom