Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
Nani kakuambia shunie ni katoto wewe?!Nyinyi ni wazee tuu, alafu ndo Unakuta Hum JF mnakimbizana na tutoto Akina Shunie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakuambia shunie ni katoto wewe?!Nyinyi ni wazee tuu, alafu ndo Unakuta Hum JF mnakimbizana na tutoto Akina Shunie
Katoto tuu Hata hakajavuka 35 .Nani kakuambia shunie ni katoto wewe?!
Kwamba alipiga mpunga mrefu?. Alipiga wapi kiasi gani?. Maana kipindi hicho sidhani kwamba kulikuwa na wa kummegea mpunga mrefu wa kuishi vizuri mpaka sasahuyu mohamed mwameja nilisikia tetesi kuwa amewahi kuihujumu simba , na wanadai mpaka sasa yuko njema sana kiuchumi!
nilisikia lilikua ni organized deal kutoka kwa wanene akina dewjizKwamba alipiga mpunga mrefu?. Alipiga wapi kiasi gani?. Maana kipindi hicho sidhani kwamba kulikuwa na wa kummegea mpunga mrefu wa kuishi vizuri mpaka sasa
Historia waweza kuifahamu Kwa ufasaha sana kama unapenda kitu na kukifuatilia .Katoto tuu Hata hakajavuka 35 .
Weewe hapo kama hujagonga 45+ ni Kwa kudra za Mwenyezi tu
Aaah...! Kama ni hao basi walimuahidi maisha mazuri.nilisikia lilikua ni organized deal kutoka kwa wanene akina dewjiz
Alikua handsome sanaaa! Wewe fikiria nilikua darasa la pili lakini nilidata
Duuh, hii hata nilikuwa siijui kama Gulamali alimtokea yangu akiwa shule, Jamaa alikuwa na Miguu myepesi Sana.Ni kweli, mi nikiwa A Shy yeye Alex Nashon alikuwa O level nadhani F1 Buhangija Sec School. Ila alisumbua sana Umiseta toka akiwa F1 alikuwa anachaguliwa hadi taifa. Gulamali alimpandia dau akiwa F4 mwaka 92.
Oyaaaa ujanja maji ya moto, Moto wenyewe ndo tunao sisi..tunapeleka motooo motooooUnataka ukimbizane na kina Shunie peke yako? Kwanza shunie hataki vitoto kama wee🤣
Hamna stamina nyie, vitoto vya 90s hamna kitu, kazi kujifaragua tu!Oyaaaa ujanja maji ya moto, Moto wenyewe ndo tunao sisi..tunapeleka motooo motoooo
Kasongo Athuman,Stephen Nemess,Mackenzie Ramadhan, Deo Njohole, Deo Mkuki,Amir Maftah,Method Mogella,Abeid Mziba, Makumbi Juma,Sahau Kambi,Will mkandawile,Will Martin asee list ndefu........Hapa hapanifai kutokana na umri, nikajua ningeona majina ya Kina Kenneth Mkapa, Zamoyoni Mogela, Issa Athumani, Fumo Felician, George Masatu na wengineo.
Unaona wivu kisa nimemsifia ni handsome!
Michael Paul aliishia kwenye wizi wa magari na ujambazi kipindi kile.Joseph kaniki golota alipata msala wa,upunda nahisi atakuwa ashaachiwa huko
Ova
Si alifariki yule muda tu.na yule mtangazaji wa tbc taifa, ezekiel malongo yuko wapi?
Maalim Salehe( Romario)-Yanga,,,alikuja kuwa dokta S.Afrika.Michael Paul aliishia kwenye wizi wa magari na ujambazi kipindi kile.
Si yupo Uarabuni au mwingine?Hivi yule Hassan Afif mocha mchezaji simba yupo au katangulia mbele?