Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Ww umetaka wacheza mpira maarafu au wachezaji tishio?felix hajawahi kuwa tishio hapa bongo kifupi alipolola,alitamba huko kwao congo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww umetaka wacheza mpira maarafu au wachezaji tishio?felix hajawahi kuwa tishio hapa bongo kifupi alipolola,alitamba huko kwao congo
Ni kweli mkuu nilifall in love! Labda utotoImenifikirisha Sana Sana!,Tena ukiwa darasa la pili.
View attachment 2815808
Alikuwa nyanda kama Juma pondamalinemess katajwa na watu wengi, huenda ndio alikua ngasa wa zamani
DAVID Mihambo wa Reli Moro sijauona akitajwa, pia Kina Kahbuka,Makuka,Kweka,Kimiti,Mjanja,Kilambo,Mikidad Jumanne........Ni sahihi. Kwa wakati wako upo sahihi. Endelea kushusha majina ya wakati wako.
sijawahi mshuhudia . mi nimemkuta juma kaseja na ivo mapundaAlikuwa nyanda kama Juma pondamali
umaarufu unaupata baada ya kuwa tishioWw umetaka wacheza mpira maarafu au wachezaji tishio?
RIPna yule mtangazaji wa tbc taifa, ezekiel malongo yuko wapi?
Ally mayai tembeleAlex massawe
Ally Mayai
Duuh Nemess Kacheza Simba pamoja na Mohamed Mwameja, Alfonce Modest, Mustapha Hoza, George Masatu, Hussein Marsha, Athumani China, Bita John, Edward Chumila , Dua Said na Nico Bambaga miaka ya 90 Kabla ya kuhamia yanga.sijawahi mshuhudia . mi nimemkuta juma kaseja na ivo mapunda
Dancun Butinini na Saidi Mwamba mbona mwenzangu wa Gongoni RIP.Hamis Thobias Gaga,ibrahimu mbuzi,sanifu Lazaro,Duncan mwamba,innocent Haule,ali maliva,Hussein Masha,Abdallah Bori,Beya Simba,Justine mtekele,Andrew Godwin,Godwin Aswile,James washokela,Itutu kigi,John makelele,ikupilika nkoba,Paulo Rwechungura, masatu magesa,
Ali mayay1.Nurdin Bakari
2.Abdi Kassim Babi
3.Joseph Kaniki
4. Niko Nyagawa
5. Fredrick Mbuna
6. Juma Jabu JJ
7. Meshack Abel
8.Shamte Ali
9. Said Bahanuzi
10.Emmanuel Gabriel Mwakyusa
11.Mrisho Khalfani Ngasa
Hawa wakongwe nataka kujua kwa sasa wako wapi! je vilabu vina thamini mchango wao kwenye soka.
huyu shabani nditi, sio mchezo.Ali mayay
Amir maftah
Shaban Nditi
Idofonce AmlimaAli mayay
Amir maftah
Shaban Nditi
Huyo hussein marsha nasikia alikua balaa . hiki kikosi kilitrend miaka ipi?Kikosi cha Pamba kilichokuwa kinatisha kabla ya kubomolewa na Simba na Yanga
1. Madata Lubigisa
2. Abdalah Bori
3. Alphonce Modest
4. David Rogers
5. George Masatu
6. Hussein Marsha
7. Mao Mkami
8. Nico Bambaga
9. Kitwana Suleiman
10. Fumo Felician
11. Nteze John
Marsha alikuwa midfield maestro. Hiyo Pamba ilikuwa ya miaka ya 90 huko.Huyo hussein marsha nasikia alikua balaa . hiki kikosi kilitrend miaka ipi?
Hasa kufunga kwa kichwa alikuwa hatarihuyu manara nasikia alikua moto wa kuotea mbali