Hawa ndio Wasakata kabumbu maarufu nchini, mimi nikiwa shule ya msingi huko mkoani!

Hawa ndio Wasakata kabumbu maarufu nchini, mimi nikiwa shule ya msingi huko mkoani!

Kwamba alipiga mpunga mrefu?. Alipiga wapi kiasi gani?. Maana kipindi hicho sidhani kwamba kulikuwa na wa kummegea mpunga mrefu wa kuishi vizuri mpaka sasa
nilisikia lilikua ni organized deal kutoka kwa wanene akina dewjiz
 
Katoto tuu Hata hakajavuka 35 .

Weewe hapo kama hujagonga 45+ ni Kwa kudra za Mwenyezi tu
Historia waweza kuifahamu Kwa ufasaha sana kama unapenda kitu na kukifuatilia .

Naweza kukupasha vita vya Kagera vilikuwa vipi ilikuwaje na ikafikia vipi

Hapo ntakushawishi useme nimegoga 60+

Unakuwa mshamba kama mazengo boy
 
Alikua handsome sanaaa! Wewe fikiria nilikua darasa la pili lakini nilidata
20230930_013345.jpg
 
Ni kweli, mi nikiwa A Shy yeye Alex Nashon alikuwa O level nadhani F1 Buhangija Sec School. Ila alisumbua sana Umiseta toka akiwa F1 alikuwa anachaguliwa hadi taifa. Gulamali alimpandia dau akiwa F4 mwaka 92.
Duuh, hii hata nilikuwa siijui kama Gulamali alimtokea yangu akiwa shule, Jamaa alikuwa na Miguu myepesi Sana.
 
Hapa hapanifai kutokana na umri, nikajua ningeona majina ya Kina Kenneth Mkapa, Zamoyoni Mogela, Issa Athumani, Fumo Felician, George Masatu na wengineo.
Kasongo Athuman,Stephen Nemess,Mackenzie Ramadhan, Deo Njohole, Deo Mkuki,Amir Maftah,Method Mogella,Abeid Mziba, Makumbi Juma,Sahau Kambi,Will mkandawile,Will Martin asee list ndefu........
 
Back
Top Bottom