Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora wakuu wa wilaya kwenye listi kuna hadi daktari eti nae ana hela😂😂😂😂Hivi kumbe wakuu wa wilaya nao Wana hela[emoji28]
Ana mishe Gani au digital platforms zinamlipa kwa miziki yake ya zamani?AY mnamjua nyie yuko kule anakaa na kina Dr dree
Unaongelea Ile rols royce used iliyokuja na tairi kipara... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ile hata ghorofa haijengi ikamalizaHivi Platnumz akiuza Rolls Royce Moja anajenga desderia ngapi[emoji848]
Dogo anazingua. Gari ulinganishe na hotel ile? Hata kama gari ni ya Gharama lakini Hotel ni Asset angesema kwa angle nyingine tu ningeelewa kwamba Platnumz ana hela ingetosha.Unaongelea Ile rols royce used iliyokuja na tairi kipara... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ile hata ghorofa haijengi ikamaliza
Mkuu uko sahihi kabisa. Kwa hali hiyo haya yanaendaga hv hv mpaka kwenye DP WORLD. Swali lipo wazi kabisa lakini sijui watanzania hawajui kusoma au ndio uvivu.Sijui ni Mimi tu nimeelewa tofauti? sky soldier ameweka bayana wasanii wenye hali nzuri nje ya Sanaa ya mziki. Nafikiri alilenga wale ambao kwa sasa hawajishughulishi sana na mziki kama kazi zao kuu za kujiingizia kipato.
Sasa watu wanataka waingizwe kwenye orodha akina Diamond au Lady Jaydee wakati wao bado wanafanya mziki.
Tujitahidi kidogo kuongeza umakini Kwa kusoma na kuelewa kabla ya kuuliza au kuandika jambo, hata mimi kuna wakati nafanya haya makosa.
Vyema kabisa.Sijui ni Mimi tu nimeelewa tofauti? sky soldier ameweka bayana wasanii wenye hali nzuri nje ya Sanaa ya mziki. Nafikiri alilenga wale ambao kwa sasa hawajishughulishi sana na mziki kama kazi zao kuu za kujiingizia kipato.
Sasa watu wanataka waingizwe kwenye orodha akina Diamond au Lady Jaydee wakati wao bado wanafanya mziki.
Tujitahidi kidogo kuongeza umakini Kwa kusoma na kuelewa kabla ya kuuliza au kuandika jambo, hata mimi kuna wakati nafanya haya makosa.