Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
Kibibi Cha kutunga uongo! Haya tuwekee hiyo taarifa iliyovuja hapa kutoka chanzo rasimi na sisi tuisomeKuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.
Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.
Hatuichukii Palestine badilisheni mbinuJoshua Loitu Mollel and Clemence Felix
wapalestina wa buza na wakomonisti wa mbweni waambieni vijana wenu wa itikadi kali wawaachilie hawa vijana au mnaendelea kusupport hata huu ujinga.
View attachment 2796985
Huko mbona kuna wabongo wengi tuWalikuwa wanaishu gani huko.
Mmojawapo ni wewe.Kwamba Tz hatujawahi kuwa na hao experts?
Tuilaani Israel wakati wapalestina wameshikilia watoto wetu? Ni damu yetu hao wawarudishe salama! Mungu awalinde na kuwarudisha salama watoto wa tumbo la mama Tanganyika 😢ni rahisi sana, Serikali imwite tu balozi wa palestina imwambie awapigie simu hamas waachie watoto wetu basi. balozi wa palestina yupo hapahapa na alishaomba watanzania tuilaani israel.
Huwa sikisii:Kibibi Cha kutunga uongo! Haya tuwekee hiyo taarifa iliyovuja hapa kutoka chanzo rasimi na sisi tuisome
Fatlia mechi wewee mancity vs manuWaislamu ambao hawafuati mambo kiushabiki mfano huyo chini siku ya tukio kwenye uzi maalumu alitoa comment hiyo na mimi nikaiLike.View attachment 2797158
Na mimi siku hiyo nikamjibu kwa kusema hivi.View attachment 2797159
Makatazo ya uislamu katika Jihad ya kweli ni hayo.View attachment 2797163
View attachment 2797166
Cc : Maghayo
yaani ajuza, hauna point hata kidogo, kwasababu huyo aliyehojiwa amesema hao raia 5 au 6 aliowaona wakipigwa risasi, waliuawa katikati ya cross fire, katikati ya mapigano, wakati wanajeshi wa israel wanajaribu kupiga magaidi ya hamas, ndipo wakaua raia waliokuwa katikali. haimaanishi kuwa israel walienda pale wakati hamas hawapo wakaanza kuua raia, NO. sasa kwa hicho kilichotokea, nini cha ajabu? hata hapa bongo ukiwa katikati ya cross-fire kati ya polisi na majambazi, risasi zinaweza kukukuta ila sio intentional. cha ajabu nini sasa hapo.
Sikikiliza vizuri.yaani ajuza, hauna point hata kidogo, kwasababu huyo aliyehojiwa amesema hao raia 5 au 6 aliowaona wakipigwa risasi, waliuawa katikati ya cross fire, katikati ya mapigano, wakati wanajeshi wa israel wanajaribu kupiga magaidi ya hamas, ndipo wakaua raia waliokuwa katikali. haimaanishi kuwa israel walienda pale wakati hamas hawapo wakaanza kuua raia, NO. sasa kwa hicho kilichotokea, nini cha ajabu? hata hapa bongo ukiwa katikati ya cross-fire kati ya polisi na majambazi, risasi zinaweza kukukuta ila sio intentional. cha ajabu nini sasa hapo.
Unawaza ujinga, dini hailazimishwiWakirudi washasilimu ao
nimesikiliza yote, wanasema hao waliuawa kwenye crossfire, kuna baadhi ya raia waliuawa na wanajeshi katikati ya mapigano, na wanasema haimanishi kwamba hamas hawakuua, waliuwa lakini wanahisi kuna udhaifu kwenye jeshi la israel kwenye kulinda raia katikati ya mapigano. so cha ajabu nini hapo? unataka kutuaminisha nini, kwamba hamas hawakuwa wachokozi, kwamba hamas hawakuua raia wakati wameteka hadi watu zaidi ya 200 hadi leo hii? walikuwa wanateka kimyakimya? hujaona hata clip zao wa operaiton walizopost youtube?Sikikiliza vizuri.
Sijisumbui kuangalia mechi ambayo matokeo yake yanajulikana tayari hata kabla mechi haijachezwa.Fatlia mechi wewee mancity vs manu
swali ni kwamba, eneo lile linakaliwa na watu weupe, hao vijana ni pure african, wanajulikana kabisa kwamba sio waisrael, kwanini waliwakamata? hao nao wamewakosea nini au walikuwa wanakamata kila mtu tu, si wawaachie?
amas hajawahi kuwa mchokozi.nimesikiliza yote, wanasema hao waliuawa kwenye crossfire, kuna baadhi ya raia waliuawa na wanajeshi katikati ya mapigano, na wanasema haimanishi kwamba hamas hawakuua, waliuwa lakini wanahisi kuna udhaifu kwenye jeshi la israel kwenye kulinda raia katikati ya mapigano. so cha ajabu nini hapo? unataka kutuaminisha nini, kwamba hamas hawakuwa wachokozi, kwamba hamas hawakuua raia wakati wameteka hadi watu zaidi ya 200 hadi leo hii? walikuwa wanateka kimyakimya? hujaona hata clip zao wa operaiton walizopost youtube?
ajuza pigania watanzania wenzako, vijana waliotekwa na hamas, hata kama ni wagalatia.
Then after wakawateka na kuwapeleka Gaza kwa HamasKuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.
Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.
Hawana mipaka hao....wanaish popoteKwani sio Watanzania?
Hamnaga mtenga wa upareniMasai na Pare.
Tuilani Israel badala ya watekaji!?ni rahisi sana, Serikali imwite tu balozi wa palestina imwambie awapigie simu hamas waachie watoto wetu basi. balozi wa palestina yupo hapahapa na alishaomba watanzania tuilaani israel.