jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Waislamu ambao hawafuati mambo kiushabiki mfano huyo chini siku ya tukio kwenye uzi maalumu alitoa comment hiyo na mimi nikaiLike.View attachment 2797158
Na mimi siku hiyo nikamjibu kwa kusema hivi.View attachment 2797159
Makatazo ya uislamu katika Jihad ya kweli ni hayo.View attachment 2797163
View attachment 2797166
Cc : Maghayo
Acha upumbavu wewe!kuna tetesi kuwa hao vjana wanaingiliwa kinyume na hao mapalestina mazeee...hali sio poa kwa hao vijanaa duaa
Joshua Loitu Mollel and Clemence Felix
wapalestina wa buza na wakomonisti wa mbweni waambieni vijana wenu wa itikadi kali wawaachilie hawa vijana au mnaendelea kusupport hata huu ujinga.
View attachment 2796985
ngoja tuone wavaa kobaz wa tanzania kama wataandamana ili watanzania hawa ambao kwao ni makafir waachiwe au wana uchungu na wapalestina peke yake.
Lengo ni kuwaudhi na kuwakomoa Waisraelswali ni kwamba, eneo lile linakaliwa na watu weupe, hao vijana ni pure african, wanajulikana kabisa kwamba sio waisrael, kwanini waliwakamata? hao nao wamewakosea nini au walikuwa wanakamata kila mtu tu, si wawaachie?
Ukute cherikali nayo inashangaana hapohapo mitandao ya Israel inasema vijana wawili wa kitanzania, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga wamekamatwa na hamas, walienda kwenye intenship ya kilimo na hatujasikia lolote toka serikalini kama wananegotiate au wanawasaidiaje au wameachwa hukohuko wafe.
na hapohapo mitandao ya Israel inasema vijana wawili wa kitanzania, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga wamekamatwa na hamas, walienda kwenye intenship ya kilimo na hatujasikia lolote toka serikalini kama wananegotiate au wanawasaidiaje au wameachwa hukohuko wafe.
Eeh wayahudi weusi umekula Cha arusha nn mkuu.Niache kuandamana kwa ajili ya ndugu zetu wapalestina eti niandamane kwa ajili ya mayahudi weusi, hii akili ni ya wapi!! Sometimes muwe mnafikiria mnachoongea
Serikali yetu iko chini ya wavaa kobazna hapohapo mitandao ya Israel inasema vijana wawili wa kitanzania, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga wamekamatwa na hamas, walienda kwenye intenship ya kilimo na hatujasikia lolote toka serikalini kama wananegotiate au wanawasaidiaje au wameachwa hukohuko wafe.
Support anaipata kwa wavaa kobazi wenzake sio sisi tunaonjielewabalozi wa palestina anasapoti hamas, sisi hatutaki kuingilia kati ugomvi wao, tunachotaka, kama vile ambayo yeye na mabalozi wenzake wa palestina wengiii wamekuwa wakihitaji sapoti yetu kuilaani israel mara kwa mara, atusaidie, apige tu simu kwa Ismail Haniyeh kiongozi wa Hamas, anaishi pale Qatar, amwambie awaachie hao watanzania wawili kama vile alivyowaachia waisrael wawili juzi. la sivyo siku nyingine asije kulialia kwetu kuomba tumpige sapoti.
Hahahahhaha wanakula hela za kitimotoUnauza kitimoto, hela umeshika na damu ya kitimoto. Na waislamu wanajua unauza kitimoto.
Ukienda dukani kwake, anakuuzia bidhaa unampa hela ya kitimoto anapokea.
Sasa hivi wanatumia mtandao wa kafiri kutoa maoni yao.