ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Fix tuu
Vijana wa UVCCM kazi yao ni kumshughulikia yeyote anayempinga mama.
Kweli kabisaWanaanza kukimbiana taratibuπΌ
Wahuni Deep Down the GREENWewe unae elewa ndio sema unachokijua
Warajikuta wanashughulikiana wenyewe kwa wenyewe.....Vijana wa UVCCM kazi yao ni kumshughulikia yeyote anayempinga mama.
umeambiwa hao wanaripoti kwa katibu mkuu kiongoziOngezea na Tiss Director na CDF
Naona pameanza kuchangamkaJinga sana wewe Babu wa Machadema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Rostam hadi Hamas wanamjua dadeki
ππMi najua wote wanareport kwa Rostam na JK hawa wengine ni zuga tu wala hawana maamuzi yoyote
Kimuundo ila sio kiutekelezaji.Wanariooto Kwa Rais ila sio Kila ripoti zinamfikia Rais.umeambiwa hao wanaripoti kwa katibu mkuu kiongozi
Balaa tupuππ
Ndiyo maanakeππππ
Rostam hadi Hamas wanamjua dadeki
Yule ni agent wa magharibi ndio maana ananguvu sn sometimes wanampatia hadi hela kuweza fanikisha misheni za east Africaππππ
Rostam hadi Hamas wanamjua dadeki
...Hata Mungu/Allah anaripoti Kwa Rostam/ JK ??, kwamba wasife na waishi mile ???...[emoji848][emoji848][emoji848]Mi najua wote wanareport kwa Rostam na JK hawa wengine ni zuga tu wala hawana maamuzi yoyote