Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuwa na nguvu usiwe na akili ya kutumia hio nguvu.Ukiangalia kwa jicho pevu unaweza sema hivyo,but at the end mwenye power ndio mshindi wa mwisho,akitaka awafekelee mbali just dakika 1 tu wanakuwa majivu.
Wote hawa Umekosa ila anayeiongoza Tanzania atakavyo hivi sasa Keshaamka zake pale Kwake Kawe Beach jirani na Piccolo na leo Saa 6 Mchana ataenda Kununua Samaki wake wa Tsh 200,000/= kwa Wavuvi walio nyuma ya Ukuta wake na atawaachia Tsh 50,000/= wanywe Kahawa.View attachment 2860143
1.Rais wa Nchi,
MHE. Samia Suluhu Hassan -Rais wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu
-Yeye jukumu lake kubwa ni ku control hali ya Usalama na Siasa ndani na Nje ya Nchi
View attachment 2860147
2.Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi
-Yeye ni Katibu wa Rais na Mkuu wa Utumishi wa Umma-anaratibu shughuli zote za serikali ikiwemo Ulinzi na Usalama na DG wa TISS ana report kwake (kiufupi huyu jamaa ndio Nchi);na
View attachment 2860150
3.Emmanuel Mpawe Tutuba-Governor wa Bank kuu ya Tanzania
-Kama Gavana wa Bank kuu kazi yake kubwa ni ku Control Uchumi wa Nchi
**Hawa ndio watu 3 pekee wenye nguvu wanaoendesha Nchi;ukiona Nchi imestawi au imekwenda mrama wahusika ni hao 3 kwa kupongeza au kulaumiwa hasa hasa Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi maana yeye ndio think tank ya Nchi.
***Wengine wote mnawajua ninyi na vyeo vyao,Waziri Mkuu,Spika,Jaji Mkuu,Mwanasheria Mkuu, CDF,TISS DG ,CAG & IGP kwa muundo wa kiutendaji na kisiasa katika hii Nchi wana operate katika maamuzi ya hao 3.
Mnyama sana yule jamaaThe Kings' Maker Rostam wa Aziz
InawezekanaHuyo Mshenzi aliwaacha Raila na Uhuru midomo wazi kwa kumsimika Ruto Ikulu,dadeki!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Tufafanulie mkuu.Mi najua wote wanareport kwa Rostam na JK hawa wengine ni zuga tu wala hawana maamuzi yoyote
Kaka nimesema waliobaki ni wafuata maelekezo,Kama wataamua kupuuza maana yake watakuwa tena sio wafuata maelekezo bali wananchi wakawaida kama wengine.Hivi Jeshi na Polisi mgambo, magereza n.k.... wakiiamua kupumzika na kupuuzia amri, hao watatu uliowataja watafanyakazi yoyote kweli? 💬 🤔
Hata ungekuwa na akili kama mchwa at the end anaye prevail ni mwenye power,ndio maana unaona hata ukiwa na akili nyingi kama akinaalbert einstein au Nikola Tesla au uwe tajiri zaidi ya Elon Musk at the end uta mu obey mwenye power.Unaweza kuwa na nguvu usiwe na akili ya kutumia hio nguvu.
Kuna watu wapo smart behind the curtain.