Hawa ndiyo wasanii waliovuma sana mwisho wakasanda

KALI P kwa sasa ameshika dini haswaa, na niliwahi kusikia alienda vituo vyote vya tv na redio na kuwaomba wasiwe wanapiga miziki yake (eti akiisikia kwa sasa anajiskia vibaya), na inasemekana ukimvizia wakati anapita na ukaweka wimbo wake atakufuata na kukuomba uufute na hata pesa anaweza kukupa ili usiupige tena. Ki ukweli dini imemkaa
 
Hahaaaa
 
kipindi muziki ulipokuwa muziki....
sio sasa umekuwa big G!
 
mkuu ukimwona ferooz leo utalia............


nadhan ule wimbo wake starehe unamhusu sana [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
DATAZ kwa sasa anafanya kazi CRDB tawi moja mjini.... Hataki kujihusisha na muziki kwa sasa wala kusikiliza ngoma zake za zamani.....

Ni hayo tu....
 
Kuna yule jamaa alikuwa na jina la saa za mkononi anaitwa nani yule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…