Immano2
JF-Expert Member
- May 31, 2013
- 260
- 214
Mbona KONKI KONKI KONKI MASTER ujamtaja unaogopa dundo nn?[MWANANGU HUNA NIDHAM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona KONKI KONKI KONKI MASTER ujamtaja unaogopa dundo nn?[MWANANGU HUNA NIDHAM
Mauno ya kwenye steji na ya kumbeba mtu ni tofauti kabisa,ukibisha jaribu.Ivyo vyote kwa sasa yuko anavifaidi kijana mmoja anyeitwa marlaw, kwa maana ya kwmba yale mauno na yale macho Bibie Besta aliamua amkabidhi moja kwa moja bwana mdogo marlaw
Doh kumbe ni sara yule mtangazaji ndio aliimba. Nashukuru kwa kunifahaamishacaz t mwana wa komba sijui now yuko wap ft miss sara .Sars kipingu now mtangazaji capital radio lete raha
Anawakilishwa NA mkeUnaanzaji kumsahau Marlaw?
Baada ya hapo watueleze kuhusu John Mjema
Kichaa kimempanda Jerry,baada ya kuvuta mineli,wengine walisema amerogwa na jirani kumbe mibangi imempanda kichwaani.Duh big up umenikumbusha mbali sana.Athuman Mlevi
Mechi kali
Baba Jane
Kichaa cha Jerry
Bush Party
Vibonge
Happy Birthday...
Jamaa walikuwa wanajua...
Steve maisha yake yalikuaje ? Anaonekana kama alikua muhuni fulani na mbabejohn mjema alijiua kwake kwake kijjchi kwa matatizo yake binafsi ya kimaisha.steve 2k baada ya kupata mafanikio akishirikiana na akili the brain chini ya studio ya akili record,kulikuwa na show moja kwenye ukumbi wa ikweta grill mtoni,kulitokea ugomvi wa kugombea mwanamke alichomwa kisu ndiyo ukawa mwisho wa uhai wake.
Hao wajinga walitisha aisee enzi zile ile album yao ya Bush PartyAthuman Mlevi
Mechi kali
Baba Jane
Kichaa cha Jerry
Bush Party
Vibonge
Happy Birthday...
Jamaa walikuwa wanajua...
Hahah dini gani? Au muislamuKALI P kwa sasa ameshika dini haswaa, na niliwahi kusikia alienda vituo vyote vya tv na redio na kuwaomba wasiwe wanapiga miziki yake (eti akiisikia kwa sasa anajiskia vibaya), na inasemekana ukimvizia wakati anapita na ukaweka wimbo wake atakufuata na kukuomba uufute na hata pesa anaweza kukupa ili usiupige tena. Ki ukweli dini imemkaa
Yule Mkurya si alikua rapper anaimba tena?Nilisikia kali popote anaimba muziki wa dini
Yule muhaya ni multi talentHivi Fredy Saganda si ndo anaigiza kama Twiga (anko T) kwenye Ubongo kids!
Surrender kwa lugha ya Malkianipo na kamusi hapa.. sioni tafsiri ya neno kusanda
Kawa Ustadh siku hizi.Yule Mkurya si alikua rapper anaimba tena?
Nlimpigia sana puli yule Dada..nasikia marlaw kamzalisha vitoto vya kutosha...maisha yanaenda kasi sanaNimekumbuka besta Yale mauno yake na macho yake.
Nlimpigia sana puli yule Dada..nasikia marlaw kamzalisha vitoto vya kutosha...maisha yanaenda kasi sana
Noma Sana huyo bestaNlimpigia sana puli yule Dada..nasikia marlaw kamzalisha vitoto vya kutosha...maisha yanaenda kasi sana