Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Aiseeee bora wewe mm airtel namba yangu tunatumia watu wawili sjui kwann yani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada niache tafadhali niendelee kujishaua
Jishaue dada [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakati ndo huuuu
 
Aiseeee bora wewe mm airtel namba yangu tunatumia watu wawili sjui kwann yani?
Hahahahaha lol hiyo kubwa kuliko ....wagombeze hao customer care ...voda washukuru hawataki kuniunganisha Huduma kwa Wateja wangekoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…