Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums


hahaha kanisahau pitia uzi wangu utoe mawaz yako
 
Hahahajajajaj kweli kabisa baba akiwa mbaya lazima aoe mtoto mrembooo kwa kweli.
Mm mbaya lazima niolewe na handsome maisha kutegemeana
 
mkuu na mimi nina huo mpango wa kusaka kamrembo matata ili nichanganye rangi, nasaka mahela kwanza si unajua tena watoto kama dada zako ,


japo ni hatari lakini ni faida kwa wanangu, watajua wakiwa wa kubwa kwa baba yao nlioa mtoto mzuri,,

hakuna kuogopa et oooh utachapiwa,, wacha wachape tuu, mi nazarisha tuuuuu[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…