Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Hawa ndo mahandsome wa JamiiForums

Mh aisee tutake radhi we Demiss usijidai kwa kuwa mke wa mganga aisee maana nadhani unafahamu kuwa mganga nae ana mganga wake so sio ututusi kiasi hicho "Eti sura ngumu kama Chochoro za Mwananyamala" Dah yaani umekuwa na upendeleo km Jiwe kisa Mshana wako basi umegoogle picha nzuri na kumbatiza yeye wkt ukweli hayuko hivyo,Aisee the world isn't fair no more.
Aiseeeee jamani mbona sijafanya chochote mme wangu Mshana ni hansahaaamy nan sasa amuone hanshaaamy kama siyo mimi
 
Back
Top Bottom