I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
... nikajua unazungumzia hatia kumbe tuhuma? Wewe ni malaya; utakuwa malaya kweli kwa kuwa nimesema au nimekutuhumu? Mbona waliondoa kesi?
Kwa ushahidi ule kulikuwa na kesi pale???? Naona mmeumia kweli DPP kukubali kuwa kuna utaahira ulifanyika na kuamua kutenda haki
Kwa sababu ni wa Mbowe tu?Hao makandoo wa mbowe wakija mojamoja napiga wote.
I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
Wanataka wawe na minyamanyama mingi(chunks).Determined; cool-headed; reliable; energetic; flexible and adaptable; a great teamworker. You need to have: stamina; quick reactions; a sense of responsibility.
These are some qualities of a commando.
Safi sana.Wamelia pamoja na wanacheka pamoja, safi sana.
Kuna muda nikishiba makande huwa napendelea kuingia JF na kupata vichekesho sampuli hii.Haa, mimi hao makomandoo wa Mbowe kwa mikono mikavu, nawapiga wote kwa mkupuo, yaani waje wote 2 kwa pamoja nawapiga na kuwatoa pumzi within minutes, nasema kweli.
... bora umeamua kuchutama!😂😂😂😂team gaidi umepanic
Duh huyu mbowe ni tajiriiiiI mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
Kwahiyo ukomando unapimwa kwa ukubwa wa mwili? Utashangaa nikikuambia makomandoo wa Israel nao Wana miili kama hao. Ukomandoo ni uwezo wa juu wa mtu kuvumilia shuruba, na sio miili mikubwaI mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
Kuna kpmandoo hapo labda K*UMANDOO ya serikali ione tu makomandoo waliofukuzwa au kuacha kazi jwtz?Hamna kitu hapo, kwanza akiwaintertain ndio mbaya zaidi system inaweza kudokoa Mmoja Mmoja bila hata kujua, Nchi km nchi ukiona kuna mtu au kikundi cha watu kinachoahatarisha usalama iwe kwa njia yeyote km vile spy, traitor, na mvuja siri za nchi, haitaangalia cha rais wala nini ni nadukuliwa km kifaranga
Hamna kitu hapo, kwanza akiwaintertain ndio mbaya zaidi system inaweza kudokoa Mmoja Mmoja bila hata kujua, Nchi km nchi ukiona kuna mtu au kikundi cha watu kinachoahatarisha usalama iwe kwa njia yeyote km vile spy, traitor, na mvuja siri za nchi, haitaangalia cha rais wala nini ni nadukuliwa km kifaranga
Ila wangekuwa wameajiriwa na serikali wangekutisha..akili za watu wengine bana. Takataka kabisaHakuna wa kunitisha hapo.
I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
Hata kazi yenyewe wanafanya kienyeji sana.
Kama mbowe anataka walinzi kweli wenye hadhi ya VIP protection awapeleke shule nje y nchi na pia wavae professional sio magwanda kama wauza mkaa.
Makomando hao wanachojua ni matumizi ya siraha na kupambana na hali ngumu msituni(survival skills) ndio mafunzo wanayopata pale 92KJ Ngerengere. Hakuna zaidi ya hapo.
Ukomandoo wao ungekua na faida kama wanapigana msitumi ila sasa threat wanayokutana nayo sio ya msituni na hawana hayo mafunzo.
Mtu mwenyewe anajiita Nyani unategemea nn.Mahakama imewatambua kama makomandoo, Jeshi la Jwtz liliwatambua hivyo, Jeshi la Polisi Tanpol linawatambua hivyo, DPP na DCI wanajua hivyo.
We Nyani Ngabu ni nani?
Hakuna tactical details ulizoandika hapa.I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!