Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kaombe leo uone. Peleka na hiyo comment. Ila usiende ukiwa umelewa sasaUnanichokoza sio na kumtania mama manka wangu sio?
Wanaangalia uso uliokongoroka na mifupa kama ya wenye tb.Ila hawa wenzetu sijui uzuri wao huwa wanaangalia nini mimi hapo naona wa pili ndo mzuri zaidi na labd a Deepikahind
Unaona ee. Wanajitoaga tu fahamuWanaume wanapenda wake zao sema tuu shetani huwa anawapitia chapuuu
Eeh na wewe sifia wakwako sasaUnasema kweli?
Hata wabantu hujawaona vizuri mkuuM-bantu OG ambaye hajawahi kuchanganya damu na raia wa bara asia, ulaya au marekani , hawezi kuingia kwenye hiyo list. Labda awe amefanya plastic/cosmetic surgery na face lift huko.
Kigezo wanachotumia kinawa-favour wao huko.
Ishu ya Golden ratio(fibonacci ratio)/phi, inawakataa dada zetu wa kibantu.
Hii list bila ya kuwepoKuna chuo fulani huko majuu kimetoa list yake ya "The most beutiful women in the world" na list ya ndo hii...
View attachment 2471064View attachment 2471066View attachment 2471067View attachment 2471068View attachment 2471069View attachment 2471070View attachment 2471071View attachment 2471072View attachment 2471073
Hata mimiIla hawa wenzetu sijui uzuri wao huwa wanaangalia nini mimi hapo naona wa pili ndo mzuri zaidi na labda Deepika
Kumbe unajua alafu unatuletea ushuziHawamfikii hata mama J
Yeah KIM K ni mzuri Instagram tu lkn kwa maisha halisi hapana so mzuri kabisaHata mm nimemiona Zendaya