Hawa ndo wadada wazuri Duniani

Hawa ndo wadada wazuri Duniani

M-bantu OG ambaye hajawahi kuchanganya damu na raia wa bara asia, ulaya au marekani , hawezi kuingia kwenye hiyo list. Labda awe amefanya plastic/cosmetic surgery na face lift huko.

Kigezo wanachotumia kinawa-favour wao huko.

Ishu ya Golden ratio(fibonacci ratio)/phi, inawakataa dada zetu wa kibantu.
Hata wabantu hujawaona vizuri mkuu
 
Hii list bila ya kuwepo
-MWAJABU SAID wa barabara ya sita Tanga.
-ASHURA KAMBANGWA wa Mwananyala.
-KOKU KAIJAGE wa Kirumba Mwanza
-MANKA SWAI wa Kijenge Arusha.

Bado haijakamilika.
 
Hizo takataka tu. Kutana na blak moja imejaa vizuri. Kuna kitu hapo ethiopia, Rwanda nk. Bado ile midudu ya south na swaz.
 
Back
Top Bottom