made in tanzania_
Senior Member
- Mar 4, 2025
- 114
- 147
- Thread starter
-
- #81
Sasa hakunaNi kipi waafrika wamefanikiwa kufanya wenyewe pasipo usaidizi wowote wa kifedha au kitaalamu kutoka kwa wazungu?
Toothpicks tu zinaagizwa nje!!
Sijafanya kitu.Sasa hakuna
Wewe ni kipi ulichofanya cha maana mpaka uwe na audacity ya kudharau waafrika kwa kiwango kikubwa
Wewe ni mjinga sanaSijafanya kitu.
Sasa nieleze wewe ni kipi umefanya au ni kipi waafrika wamefanikiwa kufanya wenyewe pasipo usaidizi wowote ule wa kifedha au kitaalamu kutoka kwa wazungu?
Wezi mno acha wachina wauzeBiashara nyingi za kibongo zilikuwa za wizi wizi sasa Mungu kutuletea wachina wacha waaweke sana mmetuibia sana wezi wakubwa nyie hasa wachaga
USSR
Hao unaowatuhumu ni wezi wengine ni ndugu zako, rafiki zako, classmate na ukipata shida ndo wa kwanza kukusaidia na sio wachinaWezi mno acha wachina wauze
Hapana hawahurumii watz wenzao wanaongeza gharama mara kumi acha wachina warahisishe mamboHao unaowatuhumu ni wezi wengine ni ndugu zako, rafiki zako, classmate na ukipata shida ndo wa kwanza kukusaidia na sio wachina
kazi wanazozifanya wabongo nchi za watu unazijua najua game is game broChina kama ni mgeni hurusiwi kufanya biashara nyingi sana hakuna sehemu ngumu kufanya biashara kama China kama ni mgeni
China hata kwenda kiwandani kwa mgeni physical ni ngumu sana
Kwanini wao ni muhimu kulinda biaashara na ajira zao ila sisi waafrika haturusiwi
Umeongea ukweli mtupu ila wenye akili ndogo hawawezi elewaChina angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.Wewe umekatazwa kufungua?
China angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.Hapana hawahurumii watz wenzao wanaongeza gharama mara kumi acha wachina warahisishe mambo
Uongo ni pesa yako tuChina kama ni mgeni hurusiwi kufanya biashara nyingi sana hakuna sehemu ngumu kufanya biashara kama China kama ni mgeni
Huelewi kitu mfano kampuni nyingi za simu na computer za ya ulaya na Marekani ziiko ChinaChina angeruhusu wazungu waingie nchini kwake kufanya biashara kama sisi tunavyowaruhuru wa China hadi leo angekuwa wangekuwa manamba wa makampuni ya wazungu.
Ununue cha elfu 10 kwa duka la mchina kwake anakuuzia kwa laki mbili.halafu ukiwa na shida anakupa elfu 30 ndio msaada huo? Ujinga mtupu.Wacha wachina wauzeHao unaowatuhumu ni wezi wengine ni ndugu zako, rafiki zako, classmate na ukipata shida ndo wa kwanza kukusaidia na sio wachina
Hamna shida kama wenyeji hawataki kulima wacha waje tuZambia huko wanalima hadi kabichi.
Soon mtawaona bondeni msi.bzi hapo wanalima mchicha ndo mtajua hamjui.
Mkuu una hoja ila unaiwasilisha kizembe. Hizo bidhaa za bei ndogo wanazouza wachina wanunuzi sio watanzania? Mtanzania akinunua pisi 500 kwa mchina, anaenda kuzivaa yeye mwenyewe hizo pisi zote au anaziuza (biashara)? Sasa kama watanzania wanafaidika na uwepo wa wachina huoni andiko lako linakuwa la kinyonyaji kutaka bidhaa ziuzwe bei ghali kwa kuwa tu wafanyabiashara ni ndugu zangu na sio wachina!!Kuna mambo mengi huyajui hao wafanyabiashara wa kibongo wengine ni ndugu zako, marafiki zako, majirani zako, wengine classmate ambapo hata ukipata shida hawa ndo wakwanza kukusaidia na sio wachina