Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nape. Sina chuki naye. Lakini namwombea Mungu ampende zaidi. Majibu ambayo Nape anatoa dhid ya wananchi.... Unamsikilizaaaaaa unasema Hiiii.
Mwigulu naye ukimsikiliza na ukiona anachofanya kwa wananchi maskini. Unatabasamu unajikuta humchukiii. Unamwombea Mungu ampende zaidi.
Makamba unamtizamaaaaaaa.....unatabasamu...unaangalia anayoyafanya... Unasema Mungu kweli anatujua tulivyo... Unatamani Mungu ampende zaidi.
Tuzidi kuombeana na kuwaombea viongozi wetu wengine pia Mungu awapende zaidi Taifa letu lifanye vizuri.
Mwigulu naye ukimsikiliza na ukiona anachofanya kwa wananchi maskini. Unatabasamu unajikuta humchukiii. Unamwombea Mungu ampende zaidi.
Makamba unamtizamaaaaaaa.....unatabasamu...unaangalia anayoyafanya... Unasema Mungu kweli anatujua tulivyo... Unatamani Mungu ampende zaidi.
Tuzidi kuombeana na kuwaombea viongozi wetu wengine pia Mungu awapende zaidi Taifa letu lifanye vizuri.