Hawa ni Watanzania maarufu wanaoongea Kiingereza kilichonyooka

Hawa ni Watanzania maarufu wanaoongea Kiingereza kilichonyooka

watu wanatukuza Sana kingereza,,,, kina nini kipya labda ? Naona una kaushamba sana tu ,,,, ! Hata kama hujasoma, si unaweza kujifunza tu na ukajua ? kina harmo, dai hakuna shule kichwani lakini wanaongea vizuri tu ,,,, ! Nenda kajifunze pia
 
watu wanatukuza Sana kingereza,,,, kina nini kipya labda ? Naona una kaushamba sana tu ,,,, ! Hata kama hujasoma, si unaweza kujifunza tu na ukajua ? kina harmo, dai hakuna shule kichwani lakini wanaongea vizuri tu ,,,, ! Nenda kajifunze pia
Mkuu,

Hili bandiko lako lenyewe kulijibu nimekutana an Thanks, Quote Reply.

Kiingereza ni lugha kubwa sana ya mawasiliano duniani.

Utake usitake.
 
Back
Top Bottom