min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Uwezo wa kufikiri kuelewa na kutatua matatizo.Akili ni nini? Hili swali lilikwamisha mjadala kati ya Kiranga na Mshana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wa kufikiri kuelewa na kutatua matatizo.Akili ni nini? Hili swali lilikwamisha mjadala kati ya Kiranga na Mshana.
Mr kipara kipya jf -Expert member!1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Yaani umejikosesha sifa kwa maksudi,Nishajiwekea mazingira ya kukosa uteuzi hata vigezo sina, kwa makusudi kabisaa.
Mmh,.Uwezo wa kufikiri kuelewa na kutatua matatizo.
Nilikiwa naitwa na marehemu Balozi Dr. Augustine Mahiga alivyokuwa balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa niende nyumbani kwake New York anitambulishe kwa rais Kikwete.Yaani umejikosesha sifa kwa maksudi,
Nadhani mtu akiishi NewYork kuja kuishi Tanzania anahisi kama kuna vitu atakosa, maybe.
Nilikiwa naitwa na marehemu Balozi Dr. Augustine Mahiga alivyokuwa balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa niende nyumbani kwake New York anitambulishe kwa rais Kikwete.
Nipate kukaa karibu na kuongea na Kikwete. Wakubwa wa nchi wanijue vizuri niweze hata kulamba hizi teuzi.
Kwa heshima niliyokuwa nayo kwa yule balozi, nilikuwa nampa udhuru tu "Mzee ningependa sana kuja lakini nimetingwa na kazi zilizopangiliwa awali ambazo siwezi kuziahirisha".
Kumbe nilikuwa sitaki kukutana na hao viongozi tu.
Ningeweza kwenda kukutana na Kikwete nikaishia kumbana kwa maswali magumu mpaka nikamuaibisha huyo balozi mwenyewe.
Acha kujipa moyo kijinga. Kama hujui kiingereza ninakuhesabia kama mtu mwenye ulemavu.watu wanatukuza Sana kingereza,,,, kina nini kipya labda ? Naona una kaushamba sana tu ,,,, ! Hata kama hujasoma, si unaweza kujifunza tu na ukajua ? kina harmo, dai hakuna shule kichwani lakini wanaongea vizuri tu ,,,, ! Nenda kajifunze pia
😂😂😂😂Samia hajui tofauti ya evacuation na eviction.
Kwenye list ambayo inaongozwa na Samia usiniweke.
Yani hata akiniita niende kuwa Waziri kwenye Baraza la Mawaziri lake sikubali
😂😂😂😂😂😂Jenista Mhagama
Samia hajui tofauti ya evacuation na eviction.
Kwenye list ambayo inaongozwa na Samia usiniweke.
Yani hata akiniita niende kuwa Waziri kwenye Baraza la Mawaziri lake sikubali
Si mpaka wanijue kwanza.Ukipinga uteuzi wa rais utabebwa juu juu ukale mshahara na marupurupu kwa lazima.
🏃🏃🏃🏃Samia hajui tofauti ya evacuation na eviction.
Kwenye list ambayo inaongozwa na Samia usiniweke.
Yani hata akiniita niende kuwa Waziri kwenye Baraza la Mawaziri lake sikubali
Kufanya tathmini ,kuchambua na kuunganisha mawazo ili kufanya maamuziMmh,.
Kuelewa na kutatua matatizo najua maana yake, ''kufikiri'' ni kufanyaje?
UMemsahau muheshimiwa muhagama bwana siyo sawa upendeleo huu1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu