kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
W
With all due respect 🙏! Natambua kingereza ni lugha kubwa sana world wide, lakini jinsi mleta mada alivyoitukuza hii lugha utadhani sijui ni nini kumbe ni lugha ambayo mtu yoyote akiamua kujifunza anaimudu vyemaMkuu,
Hili bandiko lako lenyewe kulijibu nimekutana an Thanks, Quote Reply.
Kiingereza ni lugha kubwa sana ya mawasiliano duniani.
Utake usitake.