kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Tundu Lissu kwa grammer hajambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
English yake ya kuhuni huniMchomvu labda akiwa vijiti
Eloquance ya huyu mtu ni habari nyingine4. Freeman Mbowe
1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Abby Chams1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Duuu, I see!Nilikiwa naitwa na marehemu Balozi Dr. Augustine Mahiga alivyokuwa balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa niende nyumbani kwake New York anitambulishe kwa rais Kikwete.
Nipate kukaa karibu na kuongea na Kikwete. Wakubwa wa nchi wanijue vizuri niweze hata kulamba hizi teuzi.
Kwa heshima niliyokuwa nayo kwa yule balozi, nilikuwa nampa udhuru tu "Mzee ningependa sana kuja lakini nimetingwa na kazi zilizopangiliwa awali ambazo siwezi kuziahirisha".
Kumbe nilikuwa sitaki kukutana na hao viongozi tu.
Ningeweza kwenda kukutana na Kikwete nikaishia kumbana kwa maswali magumu mpaka nikamuaibisha huyo balozi mwenyewe.
Mkuu,Duuu, I see!
Ulikuwa unazikwepa kwa maksudi fursa ambazo watu wengi wanazitafuta kwa shida sana.
Akikusikia Lucas Mwashambwa atakushangaa sana.
Ndio babe😘Au sio,
namba mbili hapo ni mimi au unasemaje sweery babe
Abigail anawalambisha vumbi.1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan
2. Jokate Mwegelo
3. Mimi
4. Freeman Mbowe
5. Mwigulu Nchemba
6. Tundu Lissu
7. Vanessa Mdee
8. Nikki wa II
9. Hamissa Mobetto
10. Adam Mchomvu
Mbona simuoni mama yetu Prof Joyce Ndalichako
Wema Sepetu anajitahid
Moja kati ya thread hovyo kabisa kuwahi kuwepo JFTanzania nzima hao tu,au we ni chawa wao