Hawa ni Watanzania maarufu wanaoongea Kiingereza kilichonyooka

Hawa ni Watanzania maarufu wanaoongea Kiingereza kilichonyooka

1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan

2. Jokate Mwegelo

3. Mimi

4. Freeman Mbowe

5. Mwigulu Nchemba

6. Tundu Lissu

7. Vanessa Mdee

8. Nikki wa II

9. Hamissa Mobetto

10. Adam Mchomvu

1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan

2. Jokate Mwegelo

3. Mimi

4. Freeman Mbowe

5. Mwigulu Nchemba

6. Tundu Lissu

7. Vanessa Mdee

8. Nikki wa II

9. Hamissa Mobetto

10. Adam Mchomvu
Abby Chams
 
Nilikiwa naitwa na marehemu Balozi Dr. Augustine Mahiga alivyokuwa balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa niende nyumbani kwake New York anitambulishe kwa rais Kikwete.

Nipate kukaa karibu na kuongea na Kikwete. Wakubwa wa nchi wanijue vizuri niweze hata kulamba hizi teuzi.

Kwa heshima niliyokuwa nayo kwa yule balozi, nilikuwa nampa udhuru tu "Mzee ningependa sana kuja lakini nimetingwa na kazi zilizopangiliwa awali ambazo siwezi kuziahirisha".

Kumbe nilikuwa sitaki kukutana na hao viongozi tu.

Ningeweza kwenda kukutana na Kikwete nikaishia kumbana kwa maswali magumu mpaka nikamuaibisha huyo balozi mwenyewe.
Duuu, I see!

Ulikuwa unazikwepa kwa maksudi fursa ambazo watu wengi wanazitafuta kwa shida sana.

Akikusikia Lucas Mwashambwa atakushangaa sana.
 
1. Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan

2. Jokate Mwegelo

3. Mimi

4. Freeman Mbowe

5. Mwigulu Nchemba

6. Tundu Lissu

7. Vanessa Mdee

8. Nikki wa II

9. Hamissa Mobetto

10. Adam Mchomvu
Abigail anawalambisha vumbi.
Hellen dausen anawalambisha vumbi.
 
Nilipokuwa dogo a few years back nilikuwa naona ishu kubwa kujua kiingereza. Now naona ni upuuzi tu kujisifia ujuzi wa hiyo lugha. Sure, it's a good skill but not as grandiose or impressive as regarded by many of your kind.

You know what's impressive? Catching a 40-story building sized rocketship with gigantic mechanical chopsticks. Now that's impressive! It literally scratches my brain with excitement. It's just magnificent witnessing the wonders of such advanced, complex, and sophisticated engineering. Breathtaking!

Nadhani kuna level tofauti za ufikiri ambazo mtu hupanda gradually kwa kutegemea na... For now, I don't know. Labda ni genetics. Ninachojua baada ya kufikia hizo level mambo mengi, ikiwemo hili hugeuka upuuzi usio na maana. It's incomprehensibly intellectually below me.
 
Back
Top Bottom