Hawa ni Watanzania maarufu wanaoongea Kiingereza kilichonyooka

watu wanatukuza Sana kingereza,,,, kina nini kipya labda ? Naona una kaushamba sana tu ,,,, ! Hata kama hujasoma, si unaweza kujifunza tu na ukajua ? kina harmo, dai hakuna shule kichwani lakini wanaongea vizuri tu ,,,, ! Nenda kajifunze pia
 
watu wanatukuza Sana kingereza,,,, kina nini kipya labda ? Naona una kaushamba sana tu ,,,, ! Hata kama hujasoma, si unaweza kujifunza tu na ukajua ? kina harmo, dai hakuna shule kichwani lakini wanaongea vizuri tu ,,,, ! Nenda kajifunze pia
Mkuu,

Hili bandiko lako lenyewe kulijibu nimekutana an Thanks, Quote Reply.

Kiingereza ni lugha kubwa sana ya mawasiliano duniani.

Utake usitake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…