Hawa ni watu maarufu duniani ambao viatu vyao vimekosa mvaaji

Pambano la pili 2005 . Alipomn'gata skio Holyfield
[/QUOTE]
Mkuu hivi kweli wewe ulikuwepo miaka hiyo Mike anapigana na Holyfield au ulihadithiwa. Nauliza hivyo kwa sababu maelezo yako unayoyatoka yako mbali mbali na uhalisia. Tyson alimng'ata Holyfield mnamo miaka ya katika ya 1996 au 1997. Kwanza kwa upand wang nakumbuka ilikuwa 97 japo tar na mwezi siukumbuki na nililifuatilia pambano lile mwanzo mwisho.
Mapambano karibia yote aliyopigana Tyson miaka 90 mimi niliyafuatilia mwanzo mwisho japo nilikuwa sijabelehe lkn akili ninayo na kufaham kila kila kilichoendelea mkuu. Hiyo 2005 ni juzi Tyson tayari alikuwa ashajiweka mbali na mambo hayo.
 
 
Huu uzi bila kumtaja Pele mchawi wa soka unapungua ladha
 
Pambano la pili 2005 . Alipomn'gata skio Holyfield
Mkuu japo post ya #226 haikuja vizuri lkn huu ndio ukweli halisi wa pambanao la Tyson na Holyfield. Mimi nilisahau mwez tu na tar lkn bahat nzuri nimeipata hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20220830-093333.jpg
    44.7 KB · Views: 11
Huu uzi bila kumtaja Pele mchawi wa soka unapungua ladha
Pele na Mohammad Ali ndio watu waliotajwa sana ktk huu uzi mkuu. Ukibahatika kuchungulia chungulia comment utaona. Mimi na baadhi ya wafuatiliaji wa soka toka miaka hiyo tumekubaliana kuwa Pele ndio king wa mpira, ila kuna mwama amebisha na kudai king ni Mesi so ubishi ukaanzia hapo.
 

Haya huwa ni mawazo ya kizamani sana mkuu

Mziki wetu wa asili bado upo tena sana tu kwenye ngoma zetu za kiasili....... mdumamge mganda sindimba nk nk


Hii miziki ya kisasa itaendelea kubadilika hadi ukamilifu wa dahari na sio sahihi kuwalaumu wanamuziki wakati wao wanaangalia walaji wao wanataka nini

Au wewe unadhani wakongo ndio waligundua magitaa na drums...... ni hatua kwa hatua
 

Hapo kwa Nyerere rudi kasome upya historia ya nchi hii mkuu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nilikuwa nazungumzia tasnia ya michezo na music mkuu. Yuda naona ni upande wa watafuta pepo na kwenda mbinguni.
Hapana Yuda Iskariote yuko upande wa wahasibu. Hajawahi kupatikana mhasibu mwingine tena wa kuweza kuvaa viatu vyake hadi leo
 
Je ni kipi cha maana alichofanya wakati huo?
Ndio maana nimekwambia uwe unatafuta facts, sio unaleta stori. Messi kaanza kucheza Barca A akiwa na miaka 17 na impact yake ilianza kuonekana mapema tu. Niambie hao uliowataja walianza kuchezea timu kubwa wakiwa na umri gani?
 
Hapana Yuda Iskariote yuko upande wa wahasibu. Hajawahi kupatikana mhasibu mwingine tena wa kuweza kuvaa viatu vyake hadi leo
Ok mkuu, nilikuwa sijalijua hili la uhasibu.
 
Mkuu mbona kuna wachezaji wengi wakubwa walianza kucheza na umri mdogo. Lkn tofauti ni kwa vile wenyew walianza kuchezea club zingine sio barca.
Kumbuka Mesi amekulia ktk mji barcelona kwahiyo ilikuwa rahisi wao kumuona. Wengine walikuwa ktk nchi tofauti kwahiyo ndio maana barca ilichelewa kuwaona.
 
Mkuu mbona kuna wachezaji wengi wakubwa walianza kucheza na umri mdogo. Lkn tofauti ni kwa vile wenyew walianza kuchezea club zingine sio barca.
Kumbuka Mesi amekulia ktk mji barcelona kwahiyo ilikuwa rahisi wao kumuona. Wengine walikuwa ktk nchi tofauti kwahiyo ndio maana barca ilichelewa kuwaona.
 
Ndio maana nimekwambia uwe unatafuta facts, sio unaleta stori. Messi kaanza kucheza Barca A akiwa na miaka 17 na impact yake ilianza kuonekana mapema tu. Niambie hao uliowataja walianza kuchezea timu kubwa wakiwa na umri gani?
Mkuu nimekujibu kweny post namb #237
 
Steven kanumba- filamu
Diamond platnum- muzik
Bwana yule- Siasa
Luckdube- reggae
Mwamposa- upigaji/utapel wa dini
Babu wa loliondo- upigaji
 
Bado unathibitisha kwamba huna facts. Messi kakulia Rosario, Argentina. Barcelona walifunga safari mpaka huko kwenda kumchukua akiwa na umri wa miaka 13 na kumleta Spain. Ina maana waliona ana something special.
 
Yani Bob alikufa na mika 36 tuu jamani lakini aliacha watoto kadhaa si haba
 
Amesahaulika mzee Majuto katika tasnia ya uchekeshaji. RIP mzee wetu Majuto Athumani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…