Hawa ni watu maarufu duniani ambao viatu vyao vimekosa mvaaji

Hawa ni watu maarufu duniani ambao viatu vyao vimekosa mvaaji

Tx moshi alitulia, mwishoni alitunga vitu noma saana
Sawa kabisa mkuu,Msondo ngoma ilitulia sana,msikilize Dede anavyoimba kwenye wimbo wa Kate na sikiliza ule mpini unavyokwenda sambamba na piano!halafu kenges fulani zikaja zikaharibu kabisa mziki wetu wa kitanzania, sikiliza nyimbo za Zimbabwe, Botswana, Zambia bado uasili wao wanao hadi leo eti kenges wa Tanzania wanapiga amapiano ya SA ,this is bullshit
 
Sawa kabisa mkuu,Msondo ngoma ilitulia sana,msikilize Dede anavyoimba kwenye wimbo wa Kate na sikiliza ule mpini unavyokwenda sambamba na piano!halafu kenges fulani zikaja zikaharibu kabisa mziki wetu wa kitanzania, sikiliza nyimbo za Zimbabwe, Botswana, Zambia bado uasili wao wanao hadi leo eti kenges wa Tanzania wanapiga amapiano ya SA ,this is bullshit
Sema mkuu mara nyingi vitu vya ku copy huwa havina guarantee, waache wenye mihemko wakimbie kimbie lkn baada ya miaka 2 au 3 ya mbele mziki wao utakuwa chali.
Hapo ndo watu wenye akili watahitaji kurudi tulipotoka, japo haitakuwa ile yenyewe ila watakuja ambao watajitahidi kuirudisha heshima yetu iliyopotezwa na hawa wanaotembea kama wamejinyea.
 
Mkuu unataka kusema ata huyu wa no way home nae anazingua
Hata mimi nilikuwa najiuliza wamezinguaje zinguaje watu wote hao. Mbona wapo wanaoendelea kuibeba fani yao na nafasi yao ktk mziki.
 
1: Mandonga
Tatizo la hawa mabondia wa siku hizi wamekuwa kama wasanii wa bongo fleva. Yan wanawika mwaka mmoja au miwili baada ya hapo wanapotea anakuja mwingine.
Huyu anaweza kufikia historia ya kina Rashind Matumla, Marwa nk?
 
Ya hata mimi huyu mzee namkubali. Wakati wake alifanya mambo makubwa sana kweny club yake, japo sometimes alikuwa anapoteza kweny baadhi ya mechi.
Nashukur mkuu kwa kuongezea legend mwingine.
Kweli Mkuu. Man UTD tunateseka sana
 
Kama kiba hayupo apo uzi batili
😂😂🤣🤣 hakuna tasnia inayowakilishwa na wafalme wawili mkuu. Kwahiyo kwa upande wa tasnia ya muziki nchini king wetu ni hayati Marijani Rajabu aka Jabali la muziki.
Kina Kiba, Diamond, Harmoniza nk washapoteza maana nzima ya mziki wetu wa kitanzania. Haiwezekani mwana mziki hajui kupiga gita, kinanda wala kifaa chochote cha mziki. Pia usipomuwekea play back hana ujanja wa kuimba vizuri bila kusaidiwa na wenzake. Afu kingine wakati wenzetu mzuka ulikuwa ukipanda wanacheza kwa namna ya kuwafanya waliokaa wasimame, ila kina kiba wao wanakimbilia kujishika mbele ya zipu huku wanazunguka zungu hadi mtu unaweza kuhisi pengine muimbaji ana kichocho au labda kabanwa na mkojo kumbe ndio style ya kutumbuiza kwenyewe 😂😂🤣🤣
 
Mkuu sikatai kwamba Messi yuko mbali sana kimpira ukimlinganisha na Pele wa miaka ile.
Pele hakuwahi kufanya yale yaliofanywa na ma legend wengine kama vile Ronaldo de Lima, Ronaldinho, Zinedine Zidane, Bebeto, mkongwe Rivaldo nk.
Lkn kwa vile tasnia ya soka imeamua kumuona yey anafaa kupewa heshima aliyopewa, basi ndo ishakuwa hivyo hivyo.
Ingekuwa utambulisho huo unabadilika badilika basi, kina Maradonna, Ronaldo de Lima nk wangekuwa ma king ktk nyakati tofauti tofauti maana kila mmoja kafanya makubwa kwa nyakati zake.
Nani ame mpa Pele u King wa life time kwenye Soka?

Unaweza kuweka evidence yeyote hapa ili kuprove madai yako?
 
Back
Top Bottom