National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Hapo sawa nimeelewa mkuuSoma tena post yang mkuu. Nimezungumzia michezo na music.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa nimeelewa mkuuSoma tena post yang mkuu. Nimezungumzia michezo na music.
Sawa kabisa mkuu,Msondo ngoma ilitulia sana,msikilize Dede anavyoimba kwenye wimbo wa Kate na sikiliza ule mpini unavyokwenda sambamba na piano!halafu kenges fulani zikaja zikaharibu kabisa mziki wetu wa kitanzania, sikiliza nyimbo za Zimbabwe, Botswana, Zambia bado uasili wao wanao hadi leo eti kenges wa Tanzania wanapiga amapiano ya SA ,this is bullshitTx moshi alitulia, mwishoni alitunga vitu noma saana
[emoji23][emoji28]Nafikiri taarabu, si unaona jina la kizanzibari hilo.
Why not Pelle?Jiandae kuja kuongeza jina la Lione MESSI.
Sema mkuu mara nyingi vitu vya ku copy huwa havina guarantee, waache wenye mihemko wakimbie kimbie lkn baada ya miaka 2 au 3 ya mbele mziki wao utakuwa chali.Sawa kabisa mkuu,Msondo ngoma ilitulia sana,msikilize Dede anavyoimba kwenye wimbo wa Kate na sikiliza ule mpini unavyokwenda sambamba na piano!halafu kenges fulani zikaja zikaharibu kabisa mziki wetu wa kitanzania, sikiliza nyimbo za Zimbabwe, Botswana, Zambia bado uasili wao wanao hadi leo eti kenges wa Tanzania wanapiga amapiano ya SA ,this is bullshit
Aliyevaa viatu vya Mohammedi Ali ni IRON MIKE TYSON1) Mohammedi Ali
Aliyevaa viatu vya Bob Marley ni LEGEND LUCKY DUBE2) Bob Marley
Kweli Mkuu. Man UTD tunateseka sanaYa hata mimi huyu mzee namkubali. Wakati wake alifanya mambo makubwa sana kweny club yake, japo sometimes alikuwa anapoteza kweny baadhi ya mechi.
Nashukur mkuu kwa kuongezea legend mwingine.
Why not MESSI?Why not Pelle?
😂😂🤣🤣 hakuna tasnia inayowakilishwa na wafalme wawili mkuu. Kwahiyo kwa upande wa tasnia ya muziki nchini king wetu ni hayati Marijani Rajabu aka Jabali la muziki.Kama kiba hayupo apo uzi batili
Nani ame mpa Pele u King wa life time kwenye Soka?Mkuu sikatai kwamba Messi yuko mbali sana kimpira ukimlinganisha na Pele wa miaka ile.
Pele hakuwahi kufanya yale yaliofanywa na ma legend wengine kama vile Ronaldo de Lima, Ronaldinho, Zinedine Zidane, Bebeto, mkongwe Rivaldo nk.
Lkn kwa vile tasnia ya soka imeamua kumuona yey anafaa kupewa heshima aliyopewa, basi ndo ishakuwa hivyo hivyo.
Ingekuwa utambulisho huo unabadilika badilika basi, kina Maradonna, Ronaldo de Lima nk wangekuwa ma king ktk nyakati tofauti tofauti maana kila mmoja kafanya makubwa kwa nyakati zake.