Hawa ni watu maarufu duniani ambao viatu vyao vimekosa mvaaji

Hawa ni watu maarufu duniani ambao viatu vyao vimekosa mvaaji

Nani ame mpa Pele u King wa life time kwenye Soka?

Unaweza kuweka evidence yeyote hapa ili kuprove madai yako?
Ingia google mkuu, au kwa kukusaidia angalia hapo kwa hiki nilichokutumia. Bila shaka unaelewa kingereza na unaelewa ni nini maana ya mtu kuchaguliwa kuwa "LABELLED" wa kitu fulani mkoani, nchini au duniani.
Yani toka miaka hiyo mpaka mwaka huu tar 24 Feb 2022 Pele ndio anaendelea kutambulika kama king au mfalme wa mchezo wa soka duniani.
Hiyo labelled inamaanisha yeye ndio alama ya mchezo huo wa mpira kama ilivyo kwa Mohamad Ali masumbwi, Bob Marley reggae na wengine wengi wa aina hiyo ktk tasnia mbali mbali duniani. Kila mchezo una muakilishi wake ambae anatambuliwa kama ni mfalme wa mchezo huo duniani, haijalishi watakuja wa zaidi yake au not heshima ya king itabaki pale pale kwa wahusika wa mchezo husika.
 

Attachments

  • Screenshot_20220826-160611.jpg
    Screenshot_20220826-160611.jpg
    36.6 KB · Views: 27
Aliyevaa viatu vya Mohammedi Ali ni IRON MIKE TYSON


Aliyevaa viatu vya Bob Marley ni LEGEND LUCKY DUBE
Ya hakika hawa ma legendary wawili Mike Tyson na Lucky Dube walijitahidi kuwa na miguu iliyokaribia kuenea viatu vya wafalme wao, pia hata kwa upande wa Bruce Lee wanasema legendary mungine ni Jackie Chan nae ni moto wa kuotea mbali, ila ndo hivyo walikuwa na vidole vifupi kwahiyo viatu havikuwatosha vizuri.
 
Kweli Mkuu. Man UTD tunateseka sana
Yani mimi mkuu toka huyu mzee alipoondoka ktk nafasi yake kama manager na kocha wetu basi mpira wenyew nimepunguza speed ya kuupenda maana nimeona unaweza kuniletea ugonjwa wa moyo bure.
Hakuna atakaekuja kuziba pengo la yule mzee kwa sasa, hakuna kabisa.
 
Za asubuhi wakuu, leo nakuja na makala ya watu maarufu duniani, ambao wameacha alama kubwa katika tasnia zao na mpaka leo hakuna alietokea kuziba mapengo yao.

1) Mohammedi Ali
Huyu ni bingwa, mbabe na mtemi wa masumbwi ulimwenguni kote. Mohammed Ali ambae alizaliwa 17 January 1942, huko Louisville, Kentucky Marekani na kufariki 3 June 2016, huko Scottsdale, Arizona Marekani. Alikuwa ni bondia wa pekee kuufanya mchezo huo uwe na wapenzi na waangaliaji wengi ulimwenguni.

Licha ya kwamba mchezo huo ulikuwepo maelfu ya miaka kabla ya ujio wake Ali, lkn ni yeye ndio aliefanya watu waanze kuupenda zaidi mchezo huo na kuchukua nafasi ya pili kwa kupendwa duniani baada ya mchezo wa mpira wa miguu. Ali ambae alikuwa na uwezo mkubwa wa kumiliki ulingo, kukwepa ngumi, na mwepesi wa kupiga ngumi za haraka haraka. Lakini pia alikuwa na mbinu nyingi za kuweza kumchosha na kummaliza kbs mpinzani wake wakati wowote alioutaka yeye ulingoni.

Ali alikuwa na uwezo wa kumsogezea mpinzani sura, lkn utashangaa hadi round nzima inaisha bila mpinzan wake kufanikiwa kumpiga ngumi hata 1 tu usoni (kama tuonavyo pichani) sometimes unakuta mpinzani wake anarusha ngumi (kota) na kuanguka mwenyewe, huku Ali akimtizama kwa dharau 😂😂🤣🤣

Pamoja na yote lkn kama ilivyo michezo mingine na yey kuna muda alikuwa anapoteza baadhi ya mapambano pia, aidha kwa kutokana na mchoko wa mazoezi makali anayokuwa amefanya kabla ya pambano nk. Toka Ali alipostaafu ngumi mpaka kifo chake, hakuna bondia ambae ashawahi kufikia rekodi ya upiganaji wake na vituko vyake awapo ulingoni na nje ya ulingo.

Mabondia wengi kama kina Mike Tyson, Evander, Lenox Lewis na wengineo walikuwa wanakwenda kumuona na kupata mbinu mbali mbali za kupigana ulingoni kupitia mfalme huyo wa ngumi ulimwenguni. Huyu ndio Mohammed Ali alieacha alama kubwa ktk mchezo huo maarufu wa ngumi duniani. Hakuna na hatotokea Mohammed Ali mungine, Never.
Mungu ailaze roho ya huyu Legend mahali pema peponi.

View attachment 2335340

2) Bob Marley
Bob Marley alizaliwa 6 Feb 1945, huko Nine Mile, Jamaica, na kufariki 11 May 1981, huko Florida Marekani.

Alipozaliwa aliukuta mzikiwa reggae ukiwa ulimwenguni miaka na miaka. Lkn kwa kipaji chake na uwezo wake akaanza kuleta mabadiliko makubwa katika mziki huo, hadi kufikia hatua ya kusikilizwa na viongozi wakubwa wa nchi mbali mbali. Japo kulikuwa na waimbaji wengine wakubwa kama kina Peter Tosh, Burn Spear nk, lkn ni yeye Bob Marley ndio aliefanya reggae ipendwe na walio wengi. Hadi anakufa Bob Marley aliacha muziki huo ukiwa na mamilioni ya wasikilizaji ulimwenguni.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

View attachment 2335341

3) Bruce Lee
Bruce Lee alizaliwa 27 Nov 1940, huko San Francisco, California Marekani na kufariki 20 July 1973 huko Kow loon Tong, Hong Kong.

Bruce alizaliwa na kuukuta mchezo wa kung fu au karate ulimwenguni. Lakini kwa kipaji alichozaliwa nacho, alianza kuleta mabadiliko makubwa kwenye mchezo huo hadi kushawishi mamilioni ya watu ulimwenguni kuupenda na kuanza kuufuatilia mchezo huu. Bruce alikuwa na uwezo mkubwa wa kucheza na hisia za adui na kujua ni wapi atapopiga lazima adui atakaa tu hata awe na mwili kama jumba.

Ikafika kipindi watu wakamshauri ajiunge kwenye tasnia ya uigizaji ili kuwavutia watu zaidi kuupenda mchezo huo, lkn pia kujifunza baadhi ya mbinu za upambanaji kupitia movie zake. Mpaka toka Bruce afariki mpaka leo bado anapewa heshima kubwa na magwiji wa mchezo huo wakiwemo wacheza sinema kama vile Jackie Chan, Jet Lee nk. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

View attachment 2335338

Wanaofuatia ni 👇
4) Michael Jackson king wa Pop na mitelezo.

5) 2pac Shakur king wa Hip hop aliekuwa haiogopi serikali ktk kuwatetea wamarekani weusi wenzake na jamii nyingine zilizobaguliwa nchini Marekani, pia alipambana sana na polisi kuhusu unyanyasaji wowote uliofanywa na jeshi hilo kwa vijana mbali mbali hadi alipouwawa. Aliwahi kuwa na kesi ya kuwashambulia polisi wawili na bunduki, baada ya 2pac kupita sehem na gari aliwakuta polisi wakiwa wamemfunga pingu mtu mweusi huku wanampiga, kitendo kile kilimuuzi 2pac ndipo alipoamua kutoa bastola yake na kuwashambulia polisi, japo baadae polisi wale waliwahishwa hospital na kupona.
Katika kesi ile 2pac hakuhukumiwa baada ya kuonekana kuwa wale polisi walikuwa na makosa ya kiutendaji kwa mtuhumiwa waliekuwa wamemkamata.
Mungu awalaze roho zao mahali pema peponi.

6) Michael Jordan
Mzee wa kudumbukiza kikapuni. Huyu alikuwa na uwezo wa kuruka juu zaidi na kuonekana kama ameganda kwa sekunde kadhaa hewani kabla ya kutia mpira kapuni na kushuka chini. Toka astaafu bado hajapatikana Jordan mungine, japo bwana mdogo hayati Kobe Bryant alijitahidi kwa namna fulan, lkn bado hakufikia kule alipofikia mzee wa kazi.

View attachment 2335342

Hawa ni baadhi ya watu ambae mpaka leo viatu vyao viko wazi, havijapata wa kuvivaa vikawatosha.
Ongeza JPM
 
😂😂😂 hakuna king wawili kwenye tasnia. Hapo kwenye mpira tayari kaishabana mzee Pele wa brazil toka miaka hiyo. Hata waliotaka na Maradonna aongezwe walichemsha, sembuse ije kuwa bwana mdogo Mesi??
Pele mpaka wamatumbi wameongeza kivumishi, "Alicheza kama pele" maanake hapo muhuni alitisha sana.
 
Michael Tyson anaheshima yake ktk ngumi, lkn hawezi kufikia viwango vya Mohammed Ali mkuu. Ikumbukwe hata Tyson mwenyew ana mengi aliyojifunza kutoka kwa mtemi huyo wa ngumi ulimwenguni.
Sasa nikimuweka na Tyson itakuwa tasnia moja ina king wawili kitu ambacho kitasnia hakiwezekani mkuu.
Wewe jamaa acha kuongea bila takwimu mwenye ngumi hamna anayemfikia Mike tyson kaangalie talwimu zake na uwaaulize wataalamu katika hiyo fani.inawezekana kabisa Mohammed Ally anapenda lakini hamzidi Tyson katika fani.
 
Za asubuhi wakuu, leo nakuja na makala ya watu maarufu duniani, ambao wameacha alama kubwa katika tasnia zao na mpaka leo hakuna alietokea kuziba mapengo yao.

1) Mohammedi Ali
Huyu ni bingwa, mbabe na mtemi wa masumbwi ulimwenguni kote. Mohammed Ali ambae alizaliwa 17 January 1942, huko Louisville, Kentucky Marekani na kufariki 3 June 2016, huko Scottsdale, Arizona Marekani. Alikuwa ni bondia wa pekee kuufanya mchezo huo uwe na wapenzi na waangaliaji wengi ulimwenguni.

Licha ya kwamba mchezo huo ulikuwepo maelfu ya miaka kabla ya ujio wake Ali, lkn ni yeye ndio aliefanya watu waanze kuupenda zaidi mchezo huo na kuchukua nafasi ya pili kwa kupendwa duniani baada ya mchezo wa mpira wa miguu. Ali ambae alikuwa na uwezo mkubwa wa kumiliki ulingo, kukwepa ngumi, na mwepesi wa kupiga ngumi za haraka haraka. Lakini pia alikuwa na mbinu nyingi za kuweza kumchosha na kummaliza kbs mpinzani wake wakati wowote alioutaka yeye ulingoni.

Ali alikuwa na uwezo wa kumsogezea mpinzani sura, lkn utashangaa hadi round nzima inaisha bila mpinzan wake kufanikiwa kumpiga ngumi hata 1 tu usoni (kama tuonavyo pichani) sometimes unakuta mpinzani wake anarusha ngumi (kota) na kuanguka mwenyewe, huku Ali akimtizama kwa dharau 😂😂🤣🤣

Pamoja na yote lkn kama ilivyo michezo mingine na yey kuna muda alikuwa anapoteza baadhi ya mapambano pia, aidha kwa kutokana na mchoko wa mazoezi makali anayokuwa amefanya kabla ya pambano nk. Toka Ali alipostaafu ngumi mpaka kifo chake, hakuna bondia ambae ashawahi kufikia rekodi ya upiganaji wake na vituko vyake awapo ulingoni na nje ya ulingo.

Mabondia wengi kama kina Mike Tyson, Evander, Lenox Lewis na wengineo walikuwa wanakwenda kumuona na kupata mbinu mbali mbali za kupigana ulingoni kupitia mfalme huyo wa ngumi ulimwenguni. Huyu ndio Mohammed Ali alieacha alama kubwa ktk mchezo huo maarufu wa ngumi duniani. Hakuna na hatotokea Mohammed Ali mungine, Never.
Mungu ailaze roho ya huyu Legend mahali pema peponi.

View attachment 2335340

2) Bob Marley
Bob Marley alizaliwa 6 Feb 1945, huko Nine Mile, Jamaica, na kufariki 11 May 1981, huko Florida Marekani.

Alipozaliwa aliukuta mzikiwa reggae ukiwa ulimwenguni miaka na miaka. Lkn kwa kipaji chake na uwezo wake akaanza kuleta mabadiliko makubwa katika mziki huo, hadi kufikia hatua ya kusikilizwa na viongozi wakubwa wa nchi mbali mbali. Japo kulikuwa na waimbaji wengine wakubwa kama kina Peter Tosh, Burn Spear nk, lkn ni yeye Bob Marley ndio aliefanya reggae ipendwe na walio wengi. Hadi anakufa Bob Marley aliacha muziki huo ukiwa na mamilioni ya wasikilizaji ulimwenguni.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

View attachment 2335341

3) Bruce Lee
Bruce Lee alizaliwa 27 Nov 1940, huko San Francisco, California Marekani na kufariki 20 July 1973 huko Kow loon Tong, Hong Kong.

Bruce alizaliwa na kuukuta mchezo wa kung fu au karate ulimwenguni. Lakini kwa kipaji alichozaliwa nacho, alianza kuleta mabadiliko makubwa kwenye mchezo huo hadi kushawishi mamilioni ya watu ulimwenguni kuupenda na kuanza kuufuatilia mchezo huu. Bruce alikuwa na uwezo mkubwa wa kucheza na hisia za adui na kujua ni wapi atapopiga lazima adui atakaa tu hata awe na mwili kama jumba.

Ikafika kipindi watu wakamshauri ajiunge kwenye tasnia ya uigizaji ili kuwavutia watu zaidi kuupenda mchezo huo, lkn pia kujifunza baadhi ya mbinu za upambanaji kupitia movie zake. Mpaka toka Bruce afariki mpaka leo bado anapewa heshima kubwa na magwiji wa mchezo huo wakiwemo wacheza sinema kama vile Jackie Chan, Jet Lee nk. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

View attachment 2335338

Wanaofuatia ni 👇
4) Michael Jackson king wa Pop na mitelezo.

5) 2pac Shakur king wa Hip hop aliekuwa haiogopi serikali ktk kuwatetea wamarekani weusi wenzake na jamii nyingine zilizobaguliwa nchini Marekani, pia alipambana sana na polisi kuhusu unyanyasaji wowote uliofanywa na jeshi hilo kwa vijana mbali mbali hadi alipouwawa. Aliwahi kuwa na kesi ya kuwashambulia polisi wawili na bunduki, baada ya 2pac kupita sehem na gari aliwakuta polisi wakiwa wamemfunga pingu mtu mweusi huku wanampiga, kitendo kile kilimuuzi 2pac ndipo alipoamua kutoa bastola yake na kuwashambulia polisi, japo baadae polisi wale waliwahishwa hospital na kupona.
Katika kesi ile 2pac hakuhukumiwa baada ya kuonekana kuwa wale polisi walikuwa na makosa ya kiutendaji kwa mtuhumiwa waliekuwa wamemkamata.
Mungu awalaze roho zao mahali pema peponi.

6) Michael Jordan
Mzee wa kudumbukiza kikapuni. Huyu alikuwa na uwezo wa kuruka juu zaidi na kuonekana kama ameganda kwa sekunde kadhaa hewani kabla ya kutia mpira kapuni na kushuka chini. Toka astaafu bado hajapatikana Jordan mungine, japo bwana mdogo hayati Kobe Bryant alijitahidi kwa namna fulan, lkn bado hakufikia kule alipofikia mzee wa kazi.

View attachment 2335342

Hawa ni baadhi ya watu ambae mpaka leo viatu vyao viko wazi, havijapata wa kuvivaa vikawatosha.
1) Mohammad Ali
2) Bob Marley
3) Bruce Lee
4) Michael Jordan
5) Michael Jackson
6) 2pac Shakur
The Greatest of All Time- GOAT

Tukija Tanzania tuna hawa chini:
1) Julius Nyerere - Uhuru wa nchi yetu.
2) Marijani Rajabu - mziki
3) Madaraka Selemani - soka
4) Malkia Khadija Kopa - taarab
 
Kwenye kabumbu atakuwa nani labda? Hawa wawili kizazi hiki wako favoured na teknolijia ya mawasiliano kuwa kubwa kupindi chao, lakini kama watafanyiwa ulinganifu wa ki-namba, pengine ubora wa enzi utafananishwa kisha apatikane Bora wa mabora
Kwa kawaida kila tasnia huwa na king mmoja anaeiwakilishia tasnia husika. Kwahiyo kwa soka king miaka yote huwa ni mzee Pele mkuu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220826-160611.jpg
    Screenshot_20220826-160611.jpg
    36.6 KB · Views: 20
Wewe jamaa acha kuongea bila takwimu mwenye ngumi hamna anayemfikia Mike tyson kaangalie talwimu zake na uwaaulize wataalamu katika hiyo fani.inawezekana kabisa Mohammed Ally anapenda lakini hamzidi Tyson katika fani.
Mkuu nakufananisha na The Icebreaker alietaka kusema kuwa Messi ndio awe king wa soka wa miaka yote.
Na wakati fact zinatamka kuwa king wa soka wa miaka yote ni mzee Pele.

Sasa na ww kama unataka kumjua king wa muda wote wa ngumi angalia hapo pichani.
 

Attachments

  • Screenshot_20220826-172228.jpg
    Screenshot_20220826-172228.jpg
    40.1 KB · Views: 20
Wakati Pele anacheza soka hakukua hata na sheria ya Offside,alikua anatupia tu kambani,

MESSI ndio mfalme wa soka hata makocha wakubwa wanatambua hilo,

Ila ruksa kwako kuamini kua Pele ndio King.
Mkuu sikatai kwamba Messi yuko mbali sana kimpira ukimlinganisha na Pele wa miaka ile.
Pele hakuwahi kufanya yale yaliofanywa na ma legend wengine kama vile Ronaldo de Lima, Ronaldinho, Zinedine Zidane, Bebeto, mkongwe Rivaldo nk.
Lkn kwa vile tasnia ya soka imeamua kumuona yey anafaa kupewa heshima aliyopewa, basi ndo ishakuwa hivyo hivyo.
Ingekuwa utambulisho huo unabadilika badilika basi, kina Maradonna, Ronaldo de Lima nk wangekuwa ma king ktk nyakati tofauti tofauti maana kila mmoja kafanya makubwa kwa nyakati zake.
 
Wewe jamaa acha kuongea bila takwimu mwenye ngumi hamna anayemfikia Mike tyson kaangalie talwimu zake na uwaaulize wataalamu katika hiyo fani.inawezekana kabisa Mohammed Ally anapenda lakini hamzidi Tyson katika fani.
Pia mkuu kama hautojali soma comment namb 34 na 36 kuna mkuu alileta hoja inayofanana na yako ila yeye alimzungumzia Messi dhidi ya Pele kama vile wewe unavyomzungumzia Tyson dhidi ya Mohammad Ali.
 
Back
Top Bottom