Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nashukur sana kwa kunisaidia baadhi ya data za huyu mchawi wa soka. Kuna mwamba fulan eti anamlinganisha Messi na Pele.Alejandro Pele wa Brazil naye Ni level nyingine kbsa.Naamini mpaka Dunia inaisha Hakuna mchezaji wa Sola atakaye kuja kufikia viwango vya Pele.
Duru zinasema katika kipindi chake Cha uchezaji jamaa alifunga mabao zaidi ya 1,500
Mkuu nashukur kwa kuongeza baadhi ya legendary kwenye list, ila ukweli ni kwamba Michael Jackson yupo kwenye list ni namb 4 pia niliweka na picha zake nashangaa moods walizitoa bila taarifa na ukisoma comment kuna sehem pia nimewakumbusha warudishe picha za Jackson na 2pac lkn hadi sasa hawajafanya hivyo wamekausha tu. Afu picha zenyewe ni za kawaida wala sio mbaya nitaziweka hapa kwa post hii uzione kama zilifaa kutolewa.Uzi wako umekosa maana kwa kukosa jina la mfalme wa Pop, Michael Jackson hapo ndipo ulichemka. Tena alitakiwa kuwa namba moja hapo. Hawa umewataja kuna watu wameweka rekodi za kuwafunika.
Mfano, Mohamed ali ukimuweka na Tyson, hivi nani katika ujana wake ameweka rekodi kali?!
Bruce lee ni mkali wa karate moves miaka hiyo ila ukitazama kuna mtu kama Don Yen,Jet Lee, ana moves kali balaa brucelee anasubiri.
Bob Marley raggae yake siwezi kusemea maana ni ya tofauti na reggae za sasa sababu yake ilikuwa politically motivated. Wenzake ni kama akina 2pac kwenye hip-hop hakuna wa kumlinganisha nae tokana na mistari yake na style ya delivery. So kwa bob Marley nitakupa pass.
Michael Jordan pia ukitazama League ya NBA kuna madogo wanapiga kikapu hadi unaogopa yeye mwenyewe Jordan ana appreciate uwezo wao na kukiri angekuwapo kwenye court miaka hii angetolewa jasho.
Ila nionyeshe msanii anayeweza match legacy ya Michael Jackson hadi leo hii tokea jamaa amefariki au hata alipokuwa hai! Huyo mtu hayupo.
Ntafutie mtu anayeweza kufunika legacy ya 2pac kwenye hip-hop?
Nitafutie mtu wa kufunika legacy ya Anold Schwarzenegger kwenye cyborg figure?
Nani anamfunika Kenny G katika uimbaji kwa kutumia tarumbeta?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika na ww umeliona hilo mkuu.Lionel Messi ni mtoto sana kwa Pelle
Kushinda pambano dakika ya 1, 2 au ya 3 ndio kunakufanya kuwa bondia bora? Mkuu unajua boxing au unaisikia tu?So unataka kutuaminisha kuwa Mohammed Ali alikuwa anashinda mapambano yake ndani ya dakika 1,2 au 3?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hao kina Mbaraka mwishehe si walicopy nyimbo za KongoHakika umeandika maneno mazuri sana mkuu. Muziki wetu ulianza kumezwa baada ya ujio wa kina Mr 11 (sugu) mnamo mwanzoni mwa miaka ya 90.
Jamaa alikuwa anasikiliza nyimbo za kina 2Pac afu anazibadilisha kwa kiswahili, vijana wanafurahi wanaona ujanja. Ikaenda ikaenda mwisho vijana wengi wakaingia kwenye mkumbo huo wa muziki wa wenzetu, na kuuendeleza hadi leo. Wanachofanya ni kubadili majina tu ili uonekane ni mziki wa nyumban.
Mara hip hop bongo, mara bongo fleva nk.
Wengine waliotuingiza chaka japo sio ile kivile ni hawa sijui twanga pepeta ya kina marehemu banza, ali choki, muumin mwinjuma nk.
Nao hiyo singeli ndo afadhali kidogo imesimama ktk nafasi ya mnanda au mchiriku kama wengi tulivyokuwa tunaita miaka hiyo. Mziki huu ulionekana wa kihuni, japo baadae baada ya wale vijana wa garikubwa kule mw/nyamala kuja na vibao vya akili kama vile raisi wetu hodari Ali Mwinyi, uko wapi mama nk.
Dah mziki wetu ushaondoka na ma legend wetu.
Reliable source ni wapi?Google sio reliable source,google ni search engine,hata wewe unaweza ukaandika chochote na kupost google.
Itabaki kuwa pengo, haitatokea wa kuvaa viatu vyakeYani mimi mkuu toka huyu mzee alipoondoka ktk nafasi yake kama manager na kocha wetu basi mpira wenyew nimepunguza speed ya kuupenda maana nimeona unaweza kuniletea ugonjwa wa moyo bure.
Hakuna atakaekuja kuziba pengo la yule mzee kwa sasa, hakuna kabisa.
Mkuu japo me kwa upande wangu naona Mike Tyson na Lucky Dube viatu wamevivaa vizuri kabisa na vimewatosha mnoo. Ila kwa Jackie Chan viatu vya Bluce Lee vimempwaya.Ya hakika hawa ma legendary wawili Mike Tyson na Lucky Dube walijitahidi kuwa na miguu iliyokaribia kuenea viatu vya wafalme wao, pia hata kwa upande wa Bruce Lee wanasema legendary mungine ni Jackie Chan nae ni moto wa kuotea mbali, ila ndo hivyo walikuwa na vidole vifupi kwahiyo viatu havikuwatosha vizuri.
Ali Hana rekodi za kutisha kuliko wengine woote. Lakini ulingoni alikua na mbinu za kipekee alipowapiga wapinzani wake .ningependa kujua rekodi ambazo Mohammed Ali aliziacha na hazijafikiwa ama kuvunjwa mpaka leo!?
Dah shukran mkuu, aisee nimehisi kutaka kutokwa na machozi baada ya kuyaona haya majina.Tumkumbuke Mzee Small na Mzee Majuto. Msiwasahau kwa Tanzania These guys were best comedians
Hawa ku copy nyimbo za Kongo, isipokuwa hiyo ndio ilikuwa asili ya nyimbo za kiafrika. Ukibahatika kusikia nyimbo za Zimbabwe, Malawi, Kenya na kwengine mwendo na style ya mziki wao wa zaman ilikuwa ni hii hii ya Tanzania, Congo, Burundi nk.Kwani hao kina Mbaraka mwishehe si walicopy nyimbo za Kongo