Hawa Tala Tanzania ninyi mnawaelewa?

Mm nliboeka kitu kmoja, nliichukua nikajiunga na tigo ila kwa bahati mbaya mtandao wake ni mbaya hapa nlipo voda hivyo nikawatumia msg wanibadilishia namba nliyounganishia ili nitumie voda ila ikashndkana nikai install fasta kwa kukosa huduma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa zozote za faragha ni zako mkuu.Si busara kwa hiyo kuzitoa kwa yeyote,iwe Tala,Google,Facebook,
Instagram,Tweeter or who ever.Makampuni haya yanatumia data zetu vibaya kwa kuziuza kwa makampuni makubwa ya kibiashara na ujasusi duniani.Kuwa makini sana mkuu.Makampuni hayo ya kibiashara yanazifanyia nini data zetu,ni somo lingine pana kidogo.
 
Ni kweli kabisaaa kuna siku nlilipa mkopo wa 72 elfu nikakopeshwa elfu 70 ....sijalipa mpaka kesho na silipi mpaka kiama wajinga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
mm Branch nilikopeshwaga mwaka juzi ef60 riba ef9000
ina maana Nirudishe 69000/=Tzs
Baada ya kurudisha wakabikopesha tena 60000/= ina maana nimewapa ef9 ya bure

nmewatupia huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello, Tala......naomba milioni kumi fasta fasta. Nakupa dakika 5 tu uwe umenipa la sivyo nakushitaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…