Ntwa A. Katule
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 239
- 230
Bosi itakula kwako. Wakipeleka jina lako kwenye credit reference Bureau unaweza usipate mkopo kwenye taasisi yote ya kifedha maishani. Unaweza usione impact yake sasa lakini ikaja kukuathiri baadaye. Hii mikopo midogo ni ya hatari sana inaweza chafua faili lako.Ni kweli kabisaaa kuna siku nlilipa mkopo wa 72 elfu nikakopeshwa elfu 70 ....sijalipa mpaka kesho na silipi mpaka kiama wajinga sana
Sent using Jamii Forums mobile app
mm Branch nilikopeshwaga mwaka juzi ef60 riba ef9000
ina maana Nirudishe 69000/=Tzs
Baada ya kurudisha wakabikopesha tena 60000/= ina maana nimewapa ef9 ya bure
nmewatupia huko
Sent using Jamii Forums mobile app
unajiunga vpHawana tofauti sana na Tala but yenyewe ina vimasharti vya kijinga jinga
unajiunga vp
Mkuu bado hujawalipa? Nasikia wanapiga sana simu mara 20 kwa siku kama ukizidisha siku za malipoNi kweli kabisaaa kuna siku nlilipa mkopo wa 72 elfu nikakopeshwa elfu 70 ....sijalipa mpaka kesho na silipi mpaka kiama wajinga sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitowalipa laini nlishatupa na kitambulisho kimepoteaMkuu bado hujawalipa? Nasikia wanapiga sana simu mara 20 kwa siku kama ukizidisha siku za malipo
Hahahah sasa kwa mwendo huu si watafilisika au wana namna nyingine ya kuwapata wadeni suguSitowalipa laini nlishatupa na kitambulisho kimepotea
kumbuka information zako wanazo.
Wakikuamini, inapitiliza laki tatu.....watu wanakopa hadi million
hawajakutafuta kaka maana mi laki tu natumiwa vimeseji vya vitishoTala wananidai 120,000/=
L pesa wananidai 225,000/=
Airtel timiza wananidai 178,000/=
Tigo nivushe wananidai 312,000/=
Branch wananidai 57000/=
Madeni yote yana zaidi ya mwaka hayajalipwa
Tala washanitoa mpaka kwenye Gazeti kama mdaiwa Sugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivo vitambulisho unavyotaja sijavielewa hata kimojaTatizo tala kwenye kujisajiri mnaitaji marekebisho mnataka mtu awe na kitambulisho cha kira pekee badala ya vitambulisho vyote muhimu kama cha taifa na chakupigia kula wengi tunashindwa kutumia huduma hii kwakua hatuna vitambulisho vya kula,ebu jirekebisheni hapo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
L pesa ndio iko vipi mkuuTala wananidai 120,000/=
L pesa wananidai 225,000/=
Airtel timiza wananidai 178,000/=
Tigo nivushe wananidai 312,000/=
Branch wananidai 57000/=
Madeni yote yana zaidi ya mwaka hayajalipwa
Tala washanitoa mpaka kwenye Gazeti kama mdaiwa Sugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Gazeti Gani wamekutoa?L pesa ndio iko vipi mkuu