Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mimi niko Chadema, na hao wote wako Chadema, japo mimi si Bidada naitwa erythrocyte, chunga majina ya kizushiBi dada wewe upo upande upi? Mbowe, lissu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niko Chadema, na hao wote wako Chadema, japo mimi si Bidada naitwa erythrocyte, chunga majina ya kizushiBi dada wewe upo upande upi? Mbowe, lissu?
Sawa dada ErythrocyteMimi niko Chadema, na hao wote wako Chadema, japo mimi si Bidada naitwa erythrocyte, chunga majina ya kizushi
Mkuu Bonny ni Mwenyekiti wa Kanda unawezaje kusema anahujumu Chadema? Unaweza kuandika jambo lolote lingine na ukapata "LIKE" Nyingi tu, si lazima uzushe, Muogope MunguKwamba huoni au?
Mbona Mbowe muda wake uliisha kitambo sana , angeshinda Mbowe ungeona kama huyo mrema asingebakiUnataka Mrema aendelee kung'ang'ania ofisi wakati muda wake umeisha? au andiko lako limelenga nini?
Vijana wenzio wengi tumewaonya humu kwamba hii jf, unaweza kukuta unayemuita dada kumbe ni Baba yako mzazi, waite watu kwa ID zao tu inatoshaSawa dada Erythrocyte
Wakiteuliwa sawa, Mbona Mnyika Kateuliwa? lakini ni dhahiri kwamba muda wao uliishaMbona Mbowe muda wake uliisha kitambo sana , angeshinda Mbowe ungeona kama huyo mrema asingebaki
Sasa kama ni vidume why watumie id za kike?Vijana wenzio wengi tumewaonya humu kwamba hii jf, unaweza kukuta unayemuita dada kumbe ni Baba yako mzazi, waite watu kwa ID zao tu inatosha
Bonny na Sugu wanajifanya hawaoni ushindi wa Lissu. Tulitegemea kuwaona kwenye events muhimu ila hawakuwepo na hawajajishughulisha kwa chochote. Ni wahujumu naweza kusema. Pamoja na Kileo na wengine niliowataja. Kama wanaona hawajaridhika wanaweza kuachia hizo nafasi wakawekwa wengine. Tumemtoa Mbowe hatumshindwi yeyote yule.Mkuu Bonny ni Mwenyekiti wa Kanda unawezaje kusema anahujumu Chadema? Unaweza kuandika jambo lolote lingine na ukapata "LIKE" Nyingi tu, si lazima uzushe, Muogope Mungu
Nakutakia siku njemaSasa kama ni vidume why watumie id za kike?
Mpeni support Lissu, achaneji na mazoea.Wakiteuliwa sawa, Mbona Mnyika Kateuliwa? lakini ni dhahiri kwamba muda wao uliisha
Hata hivyo licha ya wao kutoshiriki, kwani kuna suala lolote limekwama??Bonny na Sugu wanajifanya hawaoni ushindi wa Lissu. Tulitegemea kuwaona kwenye events muhimu ila hawakuwepo na hawajajishughulisha kwa chochote. Ni wahujumu naweza kusema. Pamoja na Kileo na wengine niliowataja. Kama wanaona hawajaridhika wanaweza kuachia hizo nafasi wakawekwa wengine. Tumemtoa Mbowe hatumshindwi yeyote yule.
Wapuuzi nyie mnaweza kumtoa nani?Bonny na Sugu wanajifanya hawaoni ushindi wa Lissu. Tulitegemea kuwaona kwenye events muhimu ila hawakuwepo na hawajajishughulisha kwa chochote. Ni wahujumu naweza kusema. Pamoja na Kileo na wengine niliowataja. Kama wanaona hawajaridhika wanaweza kuachia hizo nafasi wakawekwa wengine. Tumemtoa Mbowe hatumshindwi yeyote yule.
Nakutakia kila la heri kwenye kampeni yakoBonny na Sugu wanajifanya hawaoni ushindi wa Lissu. Tulitegemea kuwaona kwenye events muhimu ila hawakuwepo na hawajajishughulisha kwa chochote. Ni wahujumu naweza kusema. Pamoja na Kileo na wengine niliowataja. Kama wanaona hawajaridhika wanaweza kuachia hizo nafasi wakawekwa wengine. Tumemtoa Mbowe hatumshindwi yeyote yule.
Swali zuri sana hili. Mleta mada aache kulia lia hapa na kulaumu watu hapa. Ipo siku mtamkumbuka Mwamba na kwenda kumpigia Magoti.Hizo tuhuma zako umezitoa wapi?
Wakati wa Uongozi wa Mbowe mimi nilikuwa na cheo gani Chadema hadi useme muda wangu uliisha?Wewe mbona bado unaisapoti Chadema na muda wako uliisha?
Mnawadharau kwenye nini, kwanini mnataka kuleta chochoko bila sababu?Nimewadharau sana hao jamaa.