Hawa vijana ambao walikuwa "Team Mbowe" kwa kweli wanahuzunisha

Hawa vijana ambao walikuwa "Team Mbowe" kwa kweli wanahuzunisha

Ritired, Lusungo na wengineo hapa jf pia wana hali mbaya sana.
 
Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Si muendelee kuimarisha Chama, mbona wenzenu wanaendelea na issues zao?
 
Kwani sasa hivi wakoje? Iko hivi, uongozi mpya ukiingia huingia na watu wake, huo ndio utaratibu

Mkuu naamini kwamba panaposhinda watu wawili kuna kila upande una wafuasi wake....waungwana baada ya matokea wanarudi pamoja navkusahau tofauti zao.
 
Nawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.

Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?

Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.

Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Hivi sasa zam za akina mayemba, kila jukwaa atahutubia yeye
 
Wapuuzi nyie mnaweza kumtoa nani?
Uyo chiba wenu kaita watu wala rushwa na tuhuma kibao leo mnalilia support yao anataka support ya wezi?
Alikuwa anaropoka bila kujua atawahitaji ebu jaribuni kumtoa mtu kama kuna chama kitabaki cha kukiongoza wajinga nyie
sasa na wewe chawa unapiga mkwara? we nenda kacheze na kina Zuchu na Baba levo ndio mahala pako.
 
Nawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.

Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?

Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.

Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Umeongea pweinti tupu

Kina Mawazo waliuawa lakini matunda ya Ruzuku Ndio yamejaza tumbo la Boni Yai 😂
 
Nawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.

Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?

Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.

Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Shida ya viongozi wa CHADEMA wa Sasa wanajadili watu binafsi.Wanaamini maandamano tu bila maridhiano kufikia malengo.Watanzania hawako tayari kuingia kwenye machafuko.Chama kinaongozwa na matapeli
 
Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.
Mbona kama vile Una kaunafiki flani hivi?
 
Nawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.

Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?

Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.

Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Boni anaogopa akikamatwa hana wa kumtolea hela aachiwe malisa fungu hapewi tena maana mbowe alikuwa anampa pamoja na maritin masese..
Hao wote bado wana ganzi il mda si mrefu watajitokeza kimya kimya kama yeriko namasese sa hivi wanakuja kuja sema hawajafunguka vizuri
 
Back
Top Bottom