Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si muendelee kuimarisha Chama, mbona wenzenu wanaendelea na issues zao?Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Kwani sasa hivi wakoje? Iko hivi, uongozi mpya ukiingia huingia na watu wake, huo ndio utaratibu
Hivi sasa zam za akina mayemba, kila jukwaa atahutubia yeyeNawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.
Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?
Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.
Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
sasa na wewe chawa unapiga mkwara? we nenda kacheze na kina Zuchu na Baba levo ndio mahala pako.Wapuuzi nyie mnaweza kumtoa nani?
Uyo chiba wenu kaita watu wala rushwa na tuhuma kibao leo mnalilia support yao anataka support ya wezi?
Alikuwa anaropoka bila kujua atawahitaji ebu jaribuni kumtoa mtu kama kuna chama kitabaki cha kukiongoza wajinga nyie
Umeongea pweinti tupuNawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.
Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?
Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.
Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Wachagga + Yeriko na NtobiKwamba kuna watu tayari ndani ya CDM wameshaanza kumfanyia Lisu sabotage kuhakikisha kwamba anashindwa au?
Shida ya viongozi wa CHADEMA wa Sasa wanajadili watu binafsi.Wanaamini maandamano tu bila maridhiano kufikia malengo.Watanzania hawako tayari kuingia kwenye machafuko.Chama kinaongozwa na matapeliNawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.
Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?
Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.
Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Wewe ni ke au me?? Sijakuelewa mkuuMimi niko Chadema, na hao wote wako Chadema, japo mimi si Bidada naitwa erythrocyte, chunga majina ya kizushi
Mimi nitachezea wowowo la mamako mpuuzi weweeesasa na wewe chawa unapiga mkwara? we nenda kacheze na kina Zuchu na Baba levo ndio mahala pako.
Mbatizaji, Bon alikukosea nini??Umeongea pweinti tupu
Kina Mawazo waliuawa lakini matunda ya Ruzuku Ndio yamejaza tumbo la Boni Yai [emoji23]
Hivi we kijana una shida gani???Mimi nitachezea wowowo la mamako mpuuzi weweee
Sina shida usiponitukana.Hivi we kijana una shida gani???
Umri wako bado mdogo hupaswi kufanya matusi especially ya kuhusisha wazaziSina shida usiponitukana.
Mbona kama vile Una kaunafiki flani hivi?Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.
Hajanikosea chochote ila ni mtani wangu pia 🐼Mbatizaji, Bon alikukosea nini??
Yani ukinitukana nakupa double ndio principle yangu ya vita, so kama unataka amani na mimi usinitusi mimi sichagui tusi.Umri wako bado mdogo hupaswi kufanya matusi especially ya kuhusisha wazazi
Boni anaogopa akikamatwa hana wa kumtolea hela aachiwe malisa fungu hapewi tena maana mbowe alikuwa anampa pamoja na maritin masese..Nawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.
Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?
Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.
Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.