Hawa vijana ambao walikuwa "Team Mbowe" kwa kweli wanahuzunisha

Hawa vijana ambao walikuwa "Team Mbowe" kwa kweli wanahuzunisha

Nawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.

Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?

Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.

Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Yericcko nyerere amesharejea anapiga kazi za Chama huko Mvuti Kigamboni
 
Nawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.

Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?

Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.

Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Nilikua nakuona una akili Ila kwa zile kampeni zenu chafu Za kishenzi pamoja na huyo Lissu wengi watu tumewadharau vibaya sana!! Character assassination ni tabia ya kihayawani na kishenzi sana kwa watu wanaojiita wana mageuzi!!

Lissu now yupo yupo tu kama yuko kisiwani ile vibe yote aliyovimba nayo kichwa imetoweka!! Ule utoto na ushenzi utawagharimu.
 
Wapuuzi nyie mnaweza kumtoa nani?
Uyo chiba wenu kaita watu wala rushwa na tuhuma kibao leo mnalilia support yao anataka support ya wezi?
Alikuwa anaropoka bila kujua atawahitaji ebu jaribuni kumtoa mtu kama kuna chama kitabaki cha kukiongoza wajinga nyie
HUJAFA HUJAUMBIKA, SAWA DADA sinza pazuri.
 
Nawazungumzia watu kama Godlisten Malisa ambaye ajira yake ya kwanza aliipata ndani ya ofisi ya KUB baada ya Chadema kushinda kura nyingi na kuwa chama kikuu cha upinzani kwa mara ya kwanza. Anasahau kuwa fadhila hazikutoka kwa Mbowe bali zilitoka kwetu sisi tulioipigia kura Chadema na tukaondoka kuendelea na majukumu mengine huku Malisa akifaidi matunda. Leo Lissu amekuwa mwenyekiti anajifanya haioni tena Chadema. Huo ni utovu mkubwa wa nidhamu.

Kina Yericko, Kileo, Mrema ambao walifaidi matunda ya Chadema baada ya sisi kujitoa kupiga kura kwa chama hatimaye wakapata ajira makao makuu ya chama. Leo Lissu yupo wanatamani ashindwe. Huo ni uhuni. Tulishasema Lissu alihitajika zaidi kuliko Mbowe zama hizi na tulimchagua kwa ajili hiyo. Tumeendelea kumpa support yetu kwa gharama zetu. Vipi nyie wenzetu? Mnadhani ruzuku ilitokana Mbowe bila sisi?

Kina Boniface Jacob, Asenga ambao wamekuwa viongozi baada ya sisi kujitoa kwa hali na mali kuitetea Chadema kwenye chaguzi mbalimbali. Nao wanajifanya hawana habari kabisa.

Kiukweli mnajichoresha na mnazidi kuonekana kwenye jamii nyie ni watu wa aina gani. Malisa usisahau una foundation yako ambayo sisi ndiyo wadau wakubwa. Itafika mahali tutakukataa.
Dogo mwambieni Lissu afukuze wote hao!
 
Ritired, Lusungo na wengineo hapa jf pia wana hali mbaya sana.
Hali mbaya kiuchumi au kiafya? Siasa Za upinzani ni kujitolea…. Kuumia na kuteseka!! Hivi mtu unawezaje kuwa na hali mbaya ukijiweka pembeni ya mduara wa hayo mateso?

Unaeteseka ni wewe uliefiwa na hawara mwenye mapesa lukuki
 
Huyu jamaa wakati Lema alipokandamiza kura za Lissu zikaonekana chache huku za Mbowe zikionekana nyingi alipost haraka kwenye time line yake bila kuweka neno lolote.
Jaman makene yupo wapi?
 
Back
Top Bottom