unyumbu ni kazi ngumu sana ndrugu zango 🐒Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hawa machawa wakiongozwa na chawa mkuu Mwijaku wanafanya mji unachangamka sana yaani hii style ya kusifia watu wazito na vimisemo misemo flani hivi inachangamsha sana mji.
Jiji limechangamka media zimechangamka nina rafiki zangu Nairobi na kampala wanafuatilia sana viclip vya Mwijaku.
Kinachokosekana sanasana mi naona ila wapo kienyeji tu ila naona kama wangekuwa kiprofessional wangepata kazi hadi za kimataifa.
Tabia yako usiifanye kuwa tabia ya watu woteAcha wivu wakati muda wote lwenye simu unawakodolea hao machawa.
Mataifa gani yenye upumbavu unaofanywa na hawa? Hawa ni ombaomba waliochangamka kufanya kazi hawawezi.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hawa machawa wakiongozwa na chawa mkuu Mwijaku wanafanya mji unachangamka sana yaani hii style ya kusifia watu wazito na vimisemo misemo flani hivi inachangamsha sana mji.
Jiji limechangamka media zimechangamka nina rafiki zangu Nairobi na kampala wanafuatilia sana viclip vya Mwijaku.
Kinachokosekana sanasana mi naona ila wapo kienyeji tu ila naona kama wangekuwa kiprofessional wangepata kazi hadi za kimataifa.
Pengine hujui maana ya uchawa? Huo utakaofanywa ki-professional siyo uchawa bali ni utaalam.Uchawa ukifanywa kiprofessional ni fursa kabisaaa..! trust me.
Ndiyo nimesema wewe hujui maana ya uchawa. Chawa wana-operate kwenye low levels na ''wateja'' wake ni watu ambao hawana uelewa mpaka wa mambo na matukio, ambao kwa mawazo yangu wengi wanapatikana Tanzania tu.Dunia inawataka watu kama hawa machwa trust mi matajiri ni wapenda sifa sana..
Waking mwijaku hawapewi pesa buree kwa kusifia bali njia yao ya kusifia inafanya wawe kwenye Spotlight ambapo kibishara inakuwa ni fursa so wafanya biashara wana tangaza biashara kupiitia hao, hao jamaa wanaingiza pesa kupitia matangazo mwijaku Ana kampuni zaidi ya 10 hadi sasa anatangaza wala hategemei kupewa vipesa bure kule kusherehesha tuTatizo mnafurahia yale yanaonekana tu hamjui wenzenu wanapitia mangapi nyuma ya pazia.
Uchawa huletwa na kupenda maisha mteremko, yani usifie upate pesa. Sasa kuna wengine hawatoi pesa kwa kusifiwa tu ni lazima wakuparase jicho.
Kaa ukijua asilimia 98% ya machawa ni shakula ya wanaowachawia.
Ndio mana ukisoma bandiko langu nimesema wanafanya unprofessional km wangeboresha wakafanya professional wangefika mbali..Ndiyo nimesema wewe hujui maana ya uchawa. Chawa wana-operate kwenye low levels na ''wateja'' wake ni watu ambao hawana uelewa mpaka wa mambo na matukio, ambao kwa mawazo yangu wengi wanapatikana Tanzania tu.