Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Kalagabaho.....Waking mwijaku hawapewi pesa buree kwa kusifia bali njia yao ya kusifia inafanya wawe kwenye Spotlight ambapo kibishara inakuwa ni fursa so wafanya biashara wana tangaza biashara kupiitia hao, hao jamaa wanaingiza pesa kupitia matangazo mwijaku Ana kampuni zaidi ya 10 hadi sasa anatangaza wala hategemei kupewa vipesa bure kule kusherehesha tu