Hawa waandishi wa Clouds ni ovyo kabisa

Hawa waandishi wa Clouds ni ovyo kabisa

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
 
Dah!, lawama zako zote kwa waandishi kumbe ni kwasababu hawakumuuliza Lissu swali moja tu, lile ulipendalo!.

Nikadhani utazungumzia muktadha wa maswali waliyomuuliza Lissu kwa ujumla wake, ili uone yalikuwa na muelekeo gani, kama walishikiwa akili mahala, au walikuwa huru kuuliza, na majibu aliyotoa Lissu kama yalijitosheleza..
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Walikuwa wakobize wanasubilia chai

USSR
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Wakati huo CDM wote walikuwa wanaokota okota vijitaarifa kutoka kwa Kigogo.

Na Hilo suala la huyo Mlinzi kufa Lissu aliliona kwa Kigogo wakaanza kukomaa nalo kwa mihemko tu.
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Vipi kufa alikufa au hakufa?
Mbona hujataka hilo aulizwe kuwa alijuaje kuwa jiwe kaonfoka?
 
Wakati huo CDM wote walikuwa wanaokota okota vijitaarifa kutoka kwa Kigogo.

Na Hilo suala la huyo Mlinzi kufa Lissu aliliona kwa Kigogo wakaanza kukomaa nalo kwa mihemko tu.
Haipendezi hata kidogo kwa Lissu kuwa mzushi kiasi kile!

Haaminiki hata kidogo.
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Hili ndilo swali muhimu ambalo waandishi wanalaaniwa kutouliza?
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Namba ya simu ilikiwa pale chini ili kama kina mwenye swali aulize. Wewe mwenye akili mbona hukuuliza?
 
Dah!, lawama zako zote kwa waandishi kumbe ni kwasababu hawakumuuliza Lissu swali moja tu, lile ulipendalo!.

Nikadhani utazungumzia muktadha wa maswali waliyomuuliza Lissu kwa ujumla wake, ili uone yalikuwa na muelekeo gani, kama walishikiwa akili mahala, au walikuwa huru kuuliza, na majibu aliyotoa Lissu kama yalijitosheleza..
Ili swali lake uwa analiongelea kila uzi.
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Kwa sababu hawajauliza unachokiwaza ndiyo hawafai?Kazi ipo!
 
Back
Top Bottom