Hawa waandishi wa Clouds ni ovyo kabisa

Hawa waandishi wa Clouds ni ovyo kabisa

Kukata Utepe, mwite Tundu Lissu ili umuhoji swali lako. Nafsi yako itakuwa imesuuzika.
 
Huu ni wakati wa mama Samia..twende na mama..tumspoti mama..hao waliokufa walikuwa viongozi wabaya sana kuwahi kutokea hatutaki hata kuwasikia
 
Mkuu Nyani Ngabu naendelea kusisitiza Tundu Lissu sio mzima wa akili. Afya yake ya akili ina matatizo. Ebu fikiria alivyomshambualiaga Mwalimu Nyerere. Hata Mbowe ameishaapa HAWEZI kumpa kichaa wa akili Uwenyekiti wa chama. Muda utaongea.
Lissu ni mbwatukaji kichwa hakipo sawa, kibaya matatizo yake ya akili watu ndio huona ni ujasiri. Kwa mtu mwenye akili sawa sawa hasingeweza kumshambulia vile Nyerere.
 
raisi wenu mwenyewe alisema hivyo huko USA kwamba raisi wetu Magufuli akifariki kwa korona, wote wamoja Tundu Lisu anatumika tu kwa sababu wanajua hana filter lkn wote ni wamoja!
 
Wewe zezeta kweli, hilo swali moja ndio unalaumu waandishi kumuuliza as if kila mtu alikuwa anaangalia hayo mahojiano?
Swali moja kwani pana swali hapo sasa? Au kuendekeza ujinga!! Anafikiri kila mtu anawaza ujinga ujinga tu!! Hilo swali linasaidia nini kuukuza uchumi wa Tanzania?
 
Swali moja kwani pana swali hapo sasa? Au kuendekeza ujinga!! Anafikiri kila mtu anawaza ujinga ujinga tu!! Hilo swali linasaidia nini kuukuza uchumi wa Tanzania?
Uchumi tena?kwani wanaozungumzia suala la Lissu kushambuliwa kwa risasi hilo suala linakuza uchumi?
 
Back
Top Bottom