Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Kukata Utepe, mwite Tundu Lissu ili umuhoji swali lako. Nafsi yako itakuwa imesuuzika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Kwa hiyo wewe kifo au uhai wa huyo Mlinzi wa Dikteta ndo hoja kwako? Mbuzi kasoro mkia kabisa we
Lissu ni mbwatukaji kichwa hakipo sawa, kibaya matatizo yake ya akili watu ndio huona ni ujasiri. Kwa mtu mwenye akili sawa sawa hasingeweza kumshambulia vile Nyerere.Mkuu Nyani Ngabu naendelea kusisitiza Tundu Lissu sio mzima wa akili. Afya yake ya akili ina matatizo. Ebu fikiria alivyomshambualiaga Mwalimu Nyerere. Hata Mbowe ameishaapa HAWEZI kumpa kichaa wa akili Uwenyekiti wa chama. Muda utaongea.
Swali moja kwani pana swali hapo sasa? Au kuendekeza ujinga!! Anafikiri kila mtu anawaza ujinga ujinga tu!! Hilo swali linasaidia nini kuukuza uchumi wa Tanzania?Wewe zezeta kweli, hilo swali moja ndio unalaumu waandishi kumuuliza as if kila mtu alikuwa anaangalia hayo mahojiano?
Uchumi tena?kwani wanaozungumzia suala la Lissu kushambuliwa kwa risasi hilo suala linakuza uchumi?Swali moja kwani pana swali hapo sasa? Au kuendekeza ujinga!! Anafikiri kila mtu anawaza ujinga ujinga tu!! Hilo swali linasaidia nini kuukuza uchumi wa Tanzania?