Hawa waandishi wa Clouds ni ovyo kabisa

Hawa waandishi wa Clouds ni ovyo kabisa

Wewe mleta mada nimekuzarahu sana leo, kumbe hazijajaa kiasi hicho?

Habari za Magufuli ni past tense haziwezi tusaidia kitu kwa sasa, habari ya sasa ni Mh. Rais Mama Samia huyo ndio tunatakiwa tumjadili, tumshauri, timsikilize, tumkosoe, tumuombee.
Nashauri tuachane na habari za wafu
Hujui hata kuandika kwa usahihi.
FOH.
 
Kwahiyo kila raiya awe na swali lake analitaka liulizwe??

Hizo machakula za makopo mnazokula huko zinawapunguzia uwezo wa kufikiri sawa-sawa.
 
Hivi mahojiano ya mchongo yanayolenga kumpromote unategemea aulizwe maswali ambayo hana majibu?
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Kwa hilo tu ndo umejiona una uhalali wa kuwatukana watangazaji hawa...?

Kama unataka kuuliza swali kama hilo Kwa sababu wenzako hawakuona umuhimu wake au waliona halina uzito na pengine hawajui hata kama Kuna hoja kama hiyo,
kwanini wewe usimwalike Tundu Lissu kwenye TV yako ukamuuliza swali Hilo..?
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Tz waandishi wa habari,bila kuwa dharau ila ni dhaifu sana huwa hawajui kuhoji na kukata kiu ya wasikilizaji na ni wavivu pia wa kujifunza
 
Labda huyo mlinzi ni mjomba wake
Itakuwa!. Huyu bwana uwa anamu-attack Lissu kupitia huyo mlinzi wa Magufuli na uwa aelezi tukio zima vile TL alivyokuwa anaeleza vile Mkuu wa kile kijiji alivyokuwa anapumlia ventileta hadi kukata moto ila Makayafa wake wakawa wanakanusha kuwa "si kweli,magufuli ni mzima na si lazima aonekane akifanya jogging kariakoo".
Huyu bwana uwa hajali chochote kuhusu hayo, yeye anajali kuhusu mlinzi.
Huyu bwana ukimuulize uovu wa Lissu hana jibu jingine zaidi ya kusema"Lissu alisema mlinzi wa Magofuli kafa wakati yupo hai" yeye huwa hana madai kama ya akina Etwige kuwa"lissu alinunuliwa na wazee wa Miga"😂. Yeye uwa ni huyo mlinzi tu. Jipe muda, kuna siku ataanzisha uzi tena wa kumponda TL huku hoja kuu ni huyo huyu Mlinzi.
 
Itakuwa!. Huyu bwana uwa anamu-attack Lissu kupitia huyo mlinzi wa Magufuli na uwa aelezi tukio zima vile TL alivyokuwa anaeleza vile Mkuu wa kile kijiji alivyokuwa anapumlia ventileta hadi kukata moto ila Makayafa wake wakawa wanakanusha kuwa "si kweli,magufuli ni mzima na si lazima aonekane akifanya jogging kariakoo".
Huyu bwana uwa hajali chochote kuhusu hayo, yeye anajali kuhusu mlinzi.
Huyu bwana ukimuulize uovu wa Lissu hana jibu jingine zaidi ya kusema"Lissu alisema mlinzi wa Magofuli kafa wakati yupo hai" yeye huwa hana madai kama ya akina Etwige kuwa"lissu alinunuliwa na wazee wa Miga"😂. Yeye uwa ni huyo mlinzi tu. Jipe muda, kuna siku ataanzisha uzi tena wa kumponda TL huku hoja kuu ni huyo huyu Mlinzi.
Hivi wewe ulijifunza lini Kiswahili?
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Sukuma Gang, Are you ok
 
Clouds ni wanafiki sana kipindi kilivoanza wamejikomba utazani walishakaa kuongea naye .
Si Clouds tu... almost waandishi wote duniani wana kipengele hicho kwenye fani yao au masomo yao ya upekuzi/uchokozi au kaunafiki fulani ka kumuandaa muhojiwa kuingia kwenye "18" na kumwaga habari au taarifa ambazo wanaohoji wanazihitaji. Kwenye kipengele hiki mbinu nyingi za ziada zinahitajika kukufanya uamini mpo pamoja au ni marafiki na uwe huru kusema chochote kwao.
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Waandishi waliobaki Clouds360 kwa sasa ni vilaza watupu.
Wale Quality Materials walikwishapata teuzi,na maisha yakasonga mbele!
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Waandishi wa Clouds asilimia kubwa ni cheap labour!(wazee wa ungaunga mwana tusonge)
Sasa kama kampuni inampa mkataba wa utangazaji mtu kama Mwijaku,unategemea weledi kwenye Kampuni kama iyo.
 
Kwahio wangeuliza Hilo swali, interview ingekua nzuri
Maana ya kumpa mtu interviews ni kuhakikisha anapata wasaa wa kuondoa makamdokando yote aliyotuhumiwa!

Tatizo watanzania mnageuza siasa kuwa ishabiki kama Simba na Yanga!
 
Back
Top Bottom