Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Na ndio maana nikasema ifanyiwe uchunguzi wa kina usiku na Mchana!Mimi nahisi ina kaukweli ndani yake! We unaonaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana nikasema ifanyiwe uchunguzi wa kina usiku na Mchana!Mimi nahisi ina kaukweli ndani yake! We unaonaje?
Hujui hata kuandika kwa usahihi.Wewe mleta mada nimekuzarahu sana leo, kumbe hazijajaa kiasi hicho?
Habari za Magufuli ni past tense haziwezi tusaidia kitu kwa sasa, habari ya sasa ni Mh. Rais Mama Samia huyo ndio tunatakiwa tumjadili, tumshauri, timsikilize, tumkosoe, tumuombee.
Nashauri tuachane na habari za wafu
Kwa hilo tu ndo umejiona una uhalali wa kuwatukana watangazaji hawa...?Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?
Uoga?
Kuwa na ajenda ya siri?
Kuwekewa masharti ya mahojiano?
Kutokujiandaa kikamilifu?
Au ni nini hasa?
Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.
Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.
Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.
Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].
Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.
Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.
Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.
Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Tz waandishi wa habari,bila kuwa dharau ila ni dhaifu sana huwa hawajui kuhoji na kukata kiu ya wasikilizaji na ni wavivu pia wa kujifunzaHivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?
Uoga?
Kuwa na ajenda ya siri?
Kuwekewa masharti ya mahojiano?
Kutokujiandaa kikamilifu?
Au ni nini hasa?
Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.
Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.
Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.
Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].
Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.
Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.
Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.
Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Ili swali lake uwa analiongelea kila uzi.
Wewe uliwajua walinzi wote wa JPM?Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli
Lissu ni mzushi.Wewe uliwajua walinzi wote wa JPM?
Ukute wewe ndo mzushi Og!
Itakuwa!. Huyu bwana uwa anamu-attack Lissu kupitia huyo mlinzi wa Magufuli na uwa aelezi tukio zima vile TL alivyokuwa anaeleza vile Mkuu wa kile kijiji alivyokuwa anapumlia ventileta hadi kukata moto ila Makayafa wake wakawa wanakanusha kuwa "si kweli,magufuli ni mzima na si lazima aonekane akifanya jogging kariakoo".Labda huyo mlinzi ni mjomba wake
Hivi wewe ulijifunza lini Kiswahili?Itakuwa!. Huyu bwana uwa anamu-attack Lissu kupitia huyo mlinzi wa Magufuli na uwa aelezi tukio zima vile TL alivyokuwa anaeleza vile Mkuu wa kile kijiji alivyokuwa anapumlia ventileta hadi kukata moto ila Makayafa wake wakawa wanakanusha kuwa "si kweli,magufuli ni mzima na si lazima aonekane akifanya jogging kariakoo".
Huyu bwana uwa hajali chochote kuhusu hayo, yeye anajali kuhusu mlinzi.
Huyu bwana ukimuulize uovu wa Lissu hana jibu jingine zaidi ya kusema"Lissu alisema mlinzi wa Magofuli kafa wakati yupo hai" yeye huwa hana madai kama ya akina Etwige kuwa"lissu alinunuliwa na wazee wa Miga"😂. Yeye uwa ni huyo mlinzi tu. Jipe muda, kuna siku ataanzisha uzi tena wa kumponda TL huku hoja kuu ni huyo huyu Mlinzi.
Hii mada haihusu kiswahili labda ikiwa umebadili Taito ya uzi.Hivi wewe ulijifunza lini Kiswahili?
Sukuma Gang, Are you okHivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?
Uoga?
Kuwa na ajenda ya siri?
Kuwekewa masharti ya mahojiano?
Kutokujiandaa kikamilifu?
Au ni nini hasa?
Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.
Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.
Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.
Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].
Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.
Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.
Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.
Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Naomba nikukumbushe kwamba Sio wote ndugu 🙂Tz waandishi wa habari,bila kuwa dharau ila ni dhaifu sana huwa hawajui kuhoji na kukata kiu ya wasikilizaji na ni wavivu pia wa kujifunza
Si Clouds tu... almost waandishi wote duniani wana kipengele hicho kwenye fani yao au masomo yao ya upekuzi/uchokozi au kaunafiki fulani ka kumuandaa muhojiwa kuingia kwenye "18" na kumwaga habari au taarifa ambazo wanaohoji wanazihitaji. Kwenye kipengele hiki mbinu nyingi za ziada zinahitajika kukufanya uamini mpo pamoja au ni marafiki na uwe huru kusema chochote kwao.Clouds ni wanafiki sana kipindi kilivoanza wamejikomba utazani walishakaa kuongea naye .
Waandishi waliobaki Clouds360 kwa sasa ni vilaza watupu.Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?
Uoga?
Kuwa na ajenda ya siri?
Kuwekewa masharti ya mahojiano?
Kutokujiandaa kikamilifu?
Au ni nini hasa?
Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.
Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.
Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.
Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].
Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.
Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.
Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.
Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Waandishi wa Clouds asilimia kubwa ni cheap labour!(wazee wa ungaunga mwana tusonge)Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?
Uoga?
Kuwa na ajenda ya siri?
Kuwekewa masharti ya mahojiano?
Kutokujiandaa kikamilifu?
Au ni nini hasa?
Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.
Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.
Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.
Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].
Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.
Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.
Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.
Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Kwahio wangeuliza Hilo swali, interview ingekua nzuriKatika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Maana ya kumpa mtu interviews ni kuhakikisha anapata wasaa wa kuondoa makamdokando yote aliyotuhumiwa!Kwahio wangeuliza Hilo swali, interview ingekua nzuri