Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...
www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...
www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...
www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...
www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Mkuu Nyani Ngabu naendelea kusisitiza Tundu Lissu sio mzima wa akili. Afya yake ya akili ina matatizo. Ebu fikiria alivyomshambualiaga Mwalimu Nyerere. Hata Mbowe ameishaapa HAWEZI kumpa kichaa wa akili Uwenyekiti wa chama. Muda utaongea.
Mkuu Nyani Ngabu naendelea kusisitiza Tundu Lissu sio mzima wa akili. Afya yake ya akili ina matatizo. Ebu fikiria alivyomshambualiaga Mwalimu Nyerere. Hata Mbowe ameishaapa HAWEZI kumpa kichaa wa akili Uwenyekiti wa chama. Muda utaongea.
Mkuu Nyani Ngabu naendelea kusisitiza Tundu Lissu sio mzima wa akili. Afya yake ya akili ina matatizo. Ebu fikiria alivyomshambualiaga Mwalimu Nyerere. Hata Mbowe ameishaapa HAWEZI kumpa kichaa wa akili Uwenyekiti wa chama. Muda utaongea.
Sometimes akili ikiwa inafanya kazi kupita kiasi ule utimamu unapotea. Na si kwa Tundu Lissu tu peke yake Kaka... watu wengi maarufu na wasio maarufu, hasa wenye elimu sana!
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...
www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Hahaha! Anasahau kwamba kila mtu na fani yake... walishaona kuna side-effects aidha nzuri au mbaya ndo mana hawakuuliza. Labda tusubiri kupitia kipindi cha dakika 45 ITV, huenda watamuuliza maswali ya kichokozi na nyeti kama atakavyo yeye Komredi NYANI NGABU.
Sometimes akili ikiwa inafanya kazi kupita kiasi ule utimamu unapotea. Na si kwa Tundu Lissu tu peke yake Kaka... watu wengi maarufu na wasio maarufu, hasa wenye elimu sana!
Umenena vyema. Umenikumbusha kauli Profesa Robert Watson mgunduzi wa DNA aliposema DNA za Wazungu na DNA za Waafrika ni tofauti katika uwezo wa akili na kadhalika.
Umenena vyema. Umenikumbusha kauli Profesa Robert Watson mgunduzi wa DNA aliposema DNA za Wazungu na DNA za Waafrika ni tofauti katika uwezo wa akili na kadhalika.
Umenena vyema. Umenikumbusha kauli Profesa Robert Watson mgunduzi wa DNA aliposema DNA za Wazungu na DNA za Waafrika ni tofauti katika uwezo wa akili na kadhalika.
Ahahahahah! Au yule Wakili Msomi Profesa aliyegombea Urais Kenya majuzi kati! Ukimsikia anaongea unatamani kupiga simu Mirembe kwamba kuna mtu wenu aliyetoroka kapatikana huku! Ahahahahah!!!
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America. Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake...
www.jamiiforums.com
Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.
Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.
Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Wewe mleta mada nimekuzarahu sana leo, kumbe hazijajaa kiasi hicho?
Habari za Magufuli ni past tense haziwezi tusaidia kitu kwa sasa, habari ya sasa ni Mh. Rais Mama Samia huyo ndio tunatakiwa tumjadili, tumshauri, timsikilize, tumkosoe, tumuombee.
Nashauri tuachane na habari za wafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.