Hawa waandishi wa Clouds ni ovyo kabisa

Hawa waandishi wa Clouds ni ovyo kabisa

Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Kwa hiyo wewe kifo au uhai wa huyo Mlinzi wa Dikteta ndo hoja kwako? Mbuzi kasoro mkia kabisa we
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Wee zee la mataga tulia ivoivo!! Unataka kuhoji nenda kamuulize wew.
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Huna hoja wewe
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Mkuu Nyani Ngabu naendelea kusisitiza Tundu Lissu sio mzima wa akili. Afya yake ya akili ina matatizo. Ebu fikiria alivyomshambualiaga Mwalimu Nyerere. Hata Mbowe ameishaapa HAWEZI kumpa kichaa wa akili Uwenyekiti wa chama. Muda utaongea.
 
Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].
Wewe uliona hili swali la kijinga ndio muhimu kuulizwa?? Andaa kipindi chako na wewe.
 
Dh
Mkuu Nyani Ngabu naendelea kusisitiza Tundu Lissu sio mzima wa akili. Afya yake ya akili ina matatizo. Ebu fikiria alivyomshambualiaga Mwalimu Nyerere. Hata Mbowe ameishaapa HAWEZI kumpa kichaa wa akili Uwenyekiti wa chama. Muda utaongea.
Dhambi mlizofanya kipindi kile zitaendelea kuwatafuta kwa miaka mingi sana
 
Mkuu Nyani Ngabu naendelea kusisitiza Tundu Lissu sio mzima wa akili. Afya yake ya akili ina matatizo. Ebu fikiria alivyomshambualiaga Mwalimu Nyerere. Hata Mbowe ameishaapa HAWEZI kumpa kichaa wa akili Uwenyekiti wa chama. Muda utaongea.
Sometimes akili ikiwa inafanya kazi kupita kiasi ule utimamu unapotea. Na si kwa Tundu Lissu tu peke yake Kaka... watu wengi maarufu na wasio maarufu, hasa wenye elimu sana!

Vingine sidhani kama ni vitu vya kulaumu.
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Kwahyo unaona watu wajinga sababu swali lako halijaulizwa!..
 
Nyani yeye anataka wamuulize vile anavyotaka😅😅
Hahaha! Anasahau kwamba kila mtu na fani yake... walishaona kuna side-effects aidha nzuri au mbaya ndo mana hawakuuliza. Labda tusubiri kupitia kipindi cha dakika 45 ITV, huenda watamuuliza maswali ya kichokozi na nyeti kama atakavyo yeye Komredi NYANI NGABU.
 
Sometimes akili ikiwa inafanya kazi kupita kiasi ule utimamu unapotea. Na si kwa Tundu Lissu tu peke yake Kaka... watu wengi maarufu na wasio maarufu, hasa wenye elimu sana!

Vingine sidhani kama ni vitu vya kulaumu.
Umenena vyema. Umenikumbusha kauli Profesa Robert Watson mgunduzi wa DNA aliposema DNA za Wazungu na DNA za Waafrika ni tofauti katika uwezo wa akili na kadhalika.
 
Umenena vyema. Umenikumbusha kauli Profesa Robert Watson mgunduzi wa DNA aliposema DNA za Wazungu na DNA za Waafrika ni tofauti katika uwezo wa akili na kadhalika.
Hahaha! Ahsante kwa reference mkuu!

Tusiende mbali hapahapa nyumbani tunao wengi tu.

Unamfahamu bwana mmoja anaitwa "Simbaulaya" au "kambaulaya"?!

kama sikosei... yeye ni Prof. yupo B.O.T ana degree zaidi ya 2 na Masters zaidi ya 2 nafkiri
 
Clouds ni wanafiki sana kipindi kilivoanza wamejikomba utazani walishakaa kuongea naye .
 
Hahaha! Ahsante kwa reference mkuu!

Tusiende mbali hapahapa nyumbani tunao wengi tu.

Unamfahamu bwana mmoja anaitwa "Simbaulaya" au "kambaulaya"?!

kama sikosei... yeye ni Prof. yupo B.O.T ana degree zaidi ya 2 na Masters zaidi ya 2 nafkiri
Ahahahahah! Au yule Wakili Msomi Profesa aliyegombea Urais Kenya majuzi kati! Ukimsikia anaongea unatamani kupiga simu Mirembe kwamba kuna mtu wenu aliyetoroka kapatikana huku! Ahahahahah!!!
 
Hivi ni ujinga [kwa maana halisi ya neno ‘ujinga’]?

Uoga?

Kuwa na ajenda ya siri?

Kuwekewa masharti ya mahojiano?

Kutokujiandaa kikamilifu?

Au ni nini hasa?

Nimeyaangalia mazungumzo ya Tundu Lissu na Clouds Media 360.

Moja ya maswali ambayo nilitegemea wangemuuliza, hawakumuuliza.

Ni swali kuhusu uzushi ambao aliusema wakati akifanya mahojiano na kipindi cha Straight Talk Africa, kinachorushwa na Voice of America.

Lissu alizusha kuwa mmoja wa walinzi wa Rais Magufuli naye alikufa kwa corona, kama alivyokufa Magufuli, kwa mujibu wake [yeye Lissu].

Akatoa kabisa na maelezo ya kimuonekano ya huyo mlinzi.

Kwa mtu yeyote mwenye hata chembe ya akili kidogo tu, angejua Lissu alikuwa anamzungumzia nani.

Niliwahi kuandika kuhusu huo uzushi wake hapo kitambo kidogo.


Katika kumbukumbu zangu zote, sijawahi kuona popote pale ambapo Lissu aliulizwa kuhusu huo uzushi.

Na nasema ni uzushi kwa sababu huyo jamaa aliyedaiwa kufa, hakuwa amekufa. Alishiriki kikamilifu hadi mwisho wa mazishi ya Magufuli.

Kwa nini waandishi wa Tanzania hawamuulizi maswali kama hayo yanayohusu hizo kauli zake tatanishi?
Wewe mleta mada nimekuzarahu sana leo, kumbe hazijajaa kiasi hicho?

Habari za Magufuli ni past tense haziwezi tusaidia kitu kwa sasa, habari ya sasa ni Mh. Rais Mama Samia huyo ndio tunatakiwa tumjadili, tumshauri, timsikilize, tumkosoe, tumuombee.
Nashauri tuachane na habari za wafu
 
Back
Top Bottom