Hawa waandishi wetu wa habari, (wachambuzi) walikwama wapi kushindwa kupiga kura za ballon d orr tunazidiwa ata na burundi mwandishi wake kapiga kura

Hawa waandishi wetu wa habari, (wachambuzi) walikwama wapi kushindwa kupiga kura za ballon d orr tunazidiwa ata na burundi mwandishi wake kapiga kura

NITAKUKAMATA TU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2021
Posts
347
Reaction score
432
Nimeshangazwa na Tanzania kutokupata mwanahabari wa kupiga kura za ballon dorr,wanahabari wa Tanzania (wachambuzi) wamekwama wapi kupiga kura za kumchagua mchezaji bora dunia tuzo za ballon d orr au wenyewe wanachokijua ni kutengeneza mijadala kupitia vipaza sauti vyao

Screenshot_20211204-163259_1638632677060.jpg


Screenshot_20211204-163358_1638632641320.jpg


Screenshot_20211204-163409_1638632603143.jpg


Screenshot_20211204-163424_1638632565828.jpg
 
Ndugu yangu wachambuzi tulionao hapa Nchini wanasubiria kilichopostiwa na wenzao ndo wanatuletea kwenye kurasa zao,wanasubiria wachambuzi wa nje wamachambua ndo na wao wana-copy/paste,kingine walichonacho ni uchochezi wa vitu vya ajabu ajabu,umbea umbea tu.
 
Hata wewe ukute hii habari umeipata baada ya tukio kupita.
 
Baada ya kumtaja na kumpa tuzo mshindi ndio wanatoa notice ya kura zilivyokuwa, sasa wew unazan wanaweza kutoa bado wajatangaza mshindi ,umetumia ugolo wa wapi??
 
Nimeshangazwa na Tanzania kutokupata mwanahabari wa kupiga kura za ballon dorr,wanahabari wa Tanzania (wachambuzi) wamekwama wapi kupiga kura za kumchagua mchezaji bora dunia tuzo za ballon d orr au wenyewe wanachokijua ni kutengeneza mijadala kupitia vipaza sauti vyao

View attachment 2033065

View attachment 2033067

View attachment 2033068

View attachment 2033069
Wa huku wanakimbilia kuchambua mpira huku wanachanganya na kiingereza

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kichwa habari kirefu mno. Jitahidi kujifunza namna ya kuandika vichwa vya habari.

Kwahiyo taarifa yako hii ni ya kitoto aka childish
 
Kwa miaka 5 mfululizo ya nyuma Dauda (underdog na mazuzu) alipiga hizo kura ila always huwa kura yake kwa Messi tu wakaona ujinga wakamueliminate
 
Back
Top Bottom